Msondo ngoma wanadai walipwe mil 300 na WCB

Ukiona Kuku anarusha rusha Miguu juwa ndo anakaribia kukata Roho..,
 
Hahaa baba jesca legeza kamba njaa mbaya jamani khaa! Ivi si huyu huyu diamond alimuhurumiaga mzee gurumo wake msondo na kumsaidia matibabu na gari juu hata msiba alishiriki kumbe msondo walimuekea kinyongo kuona kasaidiwa mzee gurumo tu dunia hii tenda wema nenda zako hahaa njaa mbaya mweee! Diamond kazi unayo kisa nyota ivi mnafikiri hela zinaokotwa, njaaaaa
 
Ata kama wanalipishwa ndo milion 300 duuuuu..uncle magu kwel kabana [emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
 
Waache kelele waende uko mahakamani.
 
Mauzo Habari ndio Iyo ya Mwana Fa & Ay yalifika 2+ Billion...?mbona tigo wanatakiwa kulipa unapodai haki zako ukumbuke kutonyang'anya za wenzako.
Ila ukweli hapo fa na ay Hawapati hata mia hawana haki miliki ya zile nyimbo walimuuziaga sony
 
si anasemaga yeye ndo msanii bongo nzima mwenye pesa alipe tu yaishe
 
Njaaa hizi ni shida kionjo m300 akat haya mauzo ya wimbo og hayakufka m1 huu ungese
Ni haki yao ya msingi kudai... kuhusu mauzo sio kweli kwamba hayakufikia m1. Kumbuka Diamond (WCB) Malipo anayopata kwa mwezi kutokana na views YouTube, wimbo unauzwa katika App tofautitofauti, wimbo unatumika kama callerTunes katika makampuni ya simu, hapo bado hatujaangalia Vingilio vya show mbalimbali ambazo anauimba wimbo huo halafu unasema eti hata m1 haujaingiza?
Siku nyingine Ukiongea maneno hayo mbele ya wafuatiliaji na wadau wa mziki watakudharau. Mziki wa zamani tofauti na wasasa.
Ushawahi kujiuliza kwanini A.Y na mwana F.A wanaidai fidia ya tsh. BILIONI MBILI kampuni ya TIGO?
 
Wasipate tabu waende kumshtaki kwa baba ake Ommy Dimpoz amchambe.
 
Je wanayo haki miliki ya hko wanachokidai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…