Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
misosi mitamu hyo ☺Mm binafsi nipate kuku shawarma au chapati kuku masala yaani sikinai
Sent using Jamii Forums mobile app
lazima wewe ni mdadaChapati ya kusukuma na maini rosti,.nipike mwenyewe bila kusahau milkshake ya avocado au juice ya ukwaju au ubuyu..oh yeah😋😋
Hebu nielekeze mama namna ya kupikw hizi bagia, nazipenda mno. Sijui ni kunde hiziChapati ya kusukuma na maini rosti,.nipike mwenyewe bila kusahau milkshake ya avocado au juice ya ukwaju au ubuyu..oh yeah[emoji39][emoji39]
Mimi huyoaisee ndizi nyama ya kitimoto au mtori wa nyama ng'ombe
Ni kunde izoo.... Unazichambua then unaziloweka ucku kucha asubuhi unaziblend unatia viungo viungo kama vile vya kuweka kwenye bagia za denguHebu nielekeze mama namna ya kupikw hizi bagia, nazipenda mno. Sijui ni kunde hizi
View attachment 1160351
Ahsante mamaa ngoja nikajaribu, ujue nikidhani zinachemshwa kama maharagwe then unafinyanga kama ugali unatia kwenye mafutaNi kunde izoo.... Unazichambua then unaziloweka ucku kucha asubuhi unaziblend unatia viungo viungo kama vile vya kuweka kwenye bagia za dengu
( Aaah kutype nacho kipaji ujueee)
@ Qurie ukifanya vile kwa bagia then unaweka kwa mafuta?Ahsante mamaa ngoja nikajaribu, ujue nikidhani zinachemshwa kama maharagwe then unafinyanga kama ugali unatia kwenye mafuta
@Qurie. Baada ya hapo unazikaanga au siyo...au unatia kama unapika maandaziNi kunde izoo.... Unazichambua then unaziloweka ucku kucha asubuhi unaziblend unatia viungo viungo kama vile vya kuweka kwenye bagia za dengu
( Aaah kutype nacho kipaji ujueee)
@Qurie: Baads ya hapo unazitia kwenye mafuta kama samaki au maandazi?Ni kunde izoo.... Unazichambua then unaziloweka ucku kucha asubuhi unaziblend unatia viungo viungo kama vile vya kuweka kwenye bagia za dengu
( Aaah kutype nacho kipaji ujueee)
Ndio@Qurie: Baads ya hapo unazitia kwenye mafuta kama samaki au maandazi?