Msosi gani ni mtamu sana kwako?

Msosi gani ni mtamu sana kwako?

Ndizi bukoba/mzuzu na utumbo[emoji39][emoji39][emoji39]nikilaga hua nasahau kabisa jiji la dsm mkuu wake ni nani

Usintamanishe 🤣🤣🤣🤣 napika weekend [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom