Msosi wa lugha huu hapa, najua wengi mlikuwa na njaa sana

Msosi wa lugha huu hapa, najua wengi mlikuwa na njaa sana

Daaah kiswahili kisikie hivyo hivyo. Ndiyo maana mimi ukiniuliza aina za Maneno huwa sielewi kabisa. Sijui nomino, vishazi, viwakilishi nk.

Ila ukaniuliza kuhusu part of speech nakujibu hata kama nimesinzia.
Hahaha kishazi😁
 
Back
Top Bottom