Msoto wa madereva kituo cha kujazia gesi Tazara jijini Dar es Salaam

Msoto wa madereva kituo cha kujazia gesi Tazara jijini Dar es Salaam

Lakini siasa pia inaingizwa na baadhi ya viongozi. Kwanini wasiruhusu wawekezaji kuwekeza kwa ukubwa.
Kwani kuna muwekezaji amekatazwa kuweka uwekezaji?Au Bado Demand haijafika kiwango kinachovutia?
 
Na kinachoshangaza, ukijaza full tank(mtungi mmoja mkubwa nadhani) hiyo gas, unatembea 180km tu.
- Kwahiyo unasubiri 24hrs kupata 180km?

Kwa watu waishio nje ya mji, ni wastani wa siku 3 road, siku moja kituoni!

Initial cost ya kuweka mfumo wa gas ni sawa na gharama ya kutembelea hilo gari kwa siku 115(zaidi ya 60km kwa siku) kama matumizi ya petrol ya gari ni 12km/l.

Kwahiyo, faida yake inapaswa kuonekana kwa kuijumlisha hiyo initial cost kwenye matumizi yako ya gas ya kila siku.
Akili kubwa
 
Ni mwanzo mzuri
Hiyo ni fursa ya uwekezaji kwa Watanzania wenye maono

Ila wasio na maono wataishia kulalamika na kugombania frem kariakoo
 
Ndio shida ya kurukia technologia mpya wakati hatujajipanga kama nchi.
Sio ya kujipanga tu
Ni Ishu ya wananchi kuona fursa

Hapa MTU mjanja anafungua kituo kingine chapu
Malalamiko ni fursa
 
Na kinachoshangaza, ukijaza full tank(mtungi mmoja mkubwa nadhani) hiyo gas, unatembea 180km tu.
- Kwahiyo unasubiri 24hrs kupata 180km?

Kwa watu waishio nje ya mji, ni wastani wa siku 3 road, siku moja kituoni!

Initial cost ya kuweka mfumo wa gas ni sawa na gharama ya kutembelea hilo gari kwa siku 115(zaidi ya 60km kwa siku) kama matumizi ya petrol ya gari ni 12km/l.

Kwahiyo, faida yake inapaswa kuonekana kwa kuijumlisha hiyo initial cost kwenye matumizi yako ya gas ya kila siku.
Analysis nzuri
 
Hao watu hawana kazi ya kufanya aisee, yaani siku nzima unaipoteza kusubiri kujaza gesi tu...
 
Unaweza kudhani magari yameegeshwa au kuna maandamano ya magari, lakini uhalisia ni kwamba gari zinasubiri kujaziwa gesi.

Hali hiyo ipo leo Jumanne Oktoba mosi, 2024 kwenye kituo cha kujazia gesi ya magari Tazara jijini Dar es Salaam, ambako msululu wa magari umeanzia kwenye kituo hicho hadi kuelekea kwenye mataa ya Tazara (umbali wa mita 400).
Mwananchi Digital ilifika eneo hilo na kuzungumza na baadhi ya madereva waliokuwa wakisubiri kujaziwa gesi, baadhi yao walisema wamekesha kituoni hapo.

“Nipo hapa tangu saa tisa alasiri ya jana, mpaka sasa sina uhakika wa kupata huduma kwani mbele yangu kuna bajaji zaidi ya 50,” amesema mmoja wa madereva hao.

Baadhi yao wameeleza kuwa wamezunguka vituo vyote kuna shida, cha Uwanja wa ndege hakifanyi kazi, cha Ubungo pia kina shida. Huku wakazi wa Kigamboni wakilazimika pia kuja Tazara ambako kuna pampu moja, kwani hawana kituo cha kujazia gesi hata kimoja.

Soma Pia: Dkt. Mwigulu: Tusamehe ushuru wa magari ya umeme na Gesi
AGIZA GESI YA KUPIKIA HAPOHAPO ULIPO USIONDOKE KAA HAPOHAPO MTAANI KWAKO
Gesi zote zipo: Oryx Gas, Taifa Gas, Manjis Gas, O-Gas, Total Gas, Mihan Gas, na Puma Gas: zote zinapatikana hapo
 
Unaweza kudhani magari yameegeshwa au kuna maandamano ya magari, lakini uhalisia ni kwamba gari zinasubiri kujaziwa gesi.

Hali hiyo ipo leo Jumanne Oktoba mosi, 2024 kwenye kituo cha kujazia gesi ya magari Tazara jijini Dar es Salaam, ambako msululu wa magari umeanzia kwenye kituo hicho hadi kuelekea kwenye mataa ya Tazara (umbali wa mita 400).
Mwananchi Digital ilifika eneo hilo na kuzungumza na baadhi ya madereva waliokuwa wakisubiri kujaziwa gesi, baadhi yao walisema wamekesha kituoni hapo.

“Nipo hapa tangu saa tisa alasiri ya jana, mpaka sasa sina uhakika wa kupata huduma kwani mbele yangu kuna bajaji zaidi ya 50,” amesema mmoja wa madereva hao.

Baadhi yao wameeleza kuwa wamezunguka vituo vyote kuna shida, cha Uwanja wa ndege hakifanyi kazi, cha Ubungo pia kina shida. Huku wakazi wa Kigamboni wakilazimika pia kuja Tazara ambako kuna pampu moja, kwani hawana kituo cha kujazia gesi hata kimoja.

Soma Pia: Dkt. Mwigulu: Tusamehe ushuru wa magari ya umeme na Gesi
Ukute kuna vikwazo kibao ili uruhusiwe kutoa hiyo huduma ya gesi.
 
Back
Top Bottom