Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... kila baada ya miezi mitatu mstaafu anatakiwa aende physically kuhakikiwa!Wasipotoa taarifa yatadumu ad mwisho
Kuna watu wanayala na mzee ashakufa mwaka wa piliWasipotoa taarifa yatadumu ad mwisho
Sio kweli kuna uhakiki hufanyika physically asipoonekana wanasimamishaWasipotoa taarifa yatadumu ad mwisho
Haiwezekani mfuko.gani huo wa pension? Uhakiki huwa anaenda nani?Kuna watu wanayala na mzee ashakufa mwaka wa pili
Siwezi jua ila familia ya mama watoto hapa hugawana kila mwezi pesa ya dingi yaoHaiwezekani mfuko.gani huo wa pension? Uhakiki huwa anaenda nani?
Hadi mkipeleka taarifa za kifo chake au pale zoezi la uhakiki likifanyika. otherwise vuteni mpungaWanajanvi naomba msaada. Ivi mstaafu akishafariki pesa alizokua anazolipwa kila mwezi huwa zinakoma baada ya mda gani? Haswa kwa sheria zao za mafao ya wastafu
Halafu mzee Santos hujamaliza story yako kule🤣Siwezi jua ila familia ya mama watoto hapa hugawana kila mwezi pesa ya dingi yao
Ipi mzee😂😂 nimeingia mitini?Halafu mzee Santos hujamaliza story yako kule🤣
Hahaha hili nilisikia juzi kuna mchaga mmoja alikuwa anapiga mayowe yule mzee nitamuua, yule mzee nitamua! Kisa kamnyima mtaji. HahahaUnataka kumuua dingi?
acha kuongea usiyoyajua! Unadanganya ili iweje?... kila baada ya miezi mitatu mstaafu anatakiwa aende physically kuhakikiwa!
Si ile ya jamaa wa uchawi yuleIpi mzee😂😂 nimeingia mitini?
Zamani hata miaka 5 ila sasa uhakiki wa face to face hutoboi. Labda mumtafute ndugu anayefanana naye awe anakwenda yeye kuhakikiwa
Noma SanaHahaha hili nilisikia juzi kuna mchaga mmoja alikuwa anapiga mayowe yule mzee nitamuua, yule mzee nitamua! Kisa kamnyima mtaji. Hahaha
Wengine wanatumia alama za vidole kama unavyosajili simu wana vimashine vyao mtu ukienda hata uwe pacha wa Marehemu hutoboi unaweka dole kinatoka kitambulisho chako cha taifa sasa wewe kama siye dole tu hakitatokaZamani hata miaka 5 ila sasa uhakiki wa face to face hutoboi. Labda mumtafute ndugu anayefanana naye awe anakwenda yeye kuhakikiwa
Sio kweli ni hadi kifo mstaafu atalipwaNinachofahamu ni kwamba mafao ni miaka 12.5 baada ya kustaafu.
Baada ya kufa sina uhakika ni muda gani.