Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Analipwa miaka 12.5 baada ya kustaafu acha ubishiSio kweli ni hadi kifo mstaafu atalipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analipwa miaka 12.5 baada ya kustaafu acha ubishiSio kweli ni hadi kifo mstaafu atalipwa
Kwa mifuko ya hifadhi anahakikiwa Kila mwaka ila wale wa hazina ndio mpaka miaka minne au mitano...so pesa itakoma asipoenda kuhakikiWanajanvi naomba msaada. Ivi mstaafu akishafariki pesa alizokua anazolipwa kila mwezi huwa zinakoma baada ya mda gani? Haswa kwa sheria zao za mafao ya wastafu
Uoñgo ile ni formula tu wako walimu waliostaafu miaka ya 80 hadi leo wanalipwa pension wako kibao walimu,madaktari,manesi wafanyakazi wa bandari,TRA nk wako wazee kibaoAnalipwa miaka 12.5 baada ya kustaafu acha ubishi
Kuanzia leo ujue unachoongea uongoAnalipwa miaka 12.5 baada ya kustaafu acha ubishi
Makaburi ya wasio na hatia, , , , , bring it back....tuletee hitimishoSi ile ya jamaa wa uchawi yule
Baada ya mstaafu kufariki? Mafao yake ya kila mwezi yanaishia hapo hapo. Kwani kila mwaka huwa anatakiwa kuhakikiwa macho kwa uso, kama atafariki baada ya uhakiki huo, familia isipotoa taarifa itaendelea kupokea mafao hayo hadi uhakiki mwingine utakapofika.Ninachofahamu ni kwamba mafao ni miaka 12.5 baada ya kustaafu.
Baada ya kufa sina uhakika ni muda gani.
Mafao hayana ukomo baada ya kustaafu.Ninachofahamu ni kwamba mafao ni miaka 12.5 baada ya kustaafu.
Baada ya kufa sina uhakika ni muda gani.
Hebu nisahihishe ile 12.5 kwenye formula maana yake nini?Kuanzia leo ujue unachoongea uongo
Nenda kaulize mfuko.wowote wa pension uelimishwe
Nimeelewa mkuu ile 12.5 ni makadirio ya umri wa kuishi baada ya kustaafu!Mafao hayana ukomo baada ya kustaafu.
Una bahati sana yule mchawi alikumbuka kukuachia akili yako.Uoñgo ile ni formula tu wako walimu waliostaafu miaka ya 80 hadi leo wanalipwa pension wako kibao walimu,madaktari,manesi wafanyakazi wa bandari,TRA nk wako wazee kibao
Unaongea usichojua
Unaongea academically sio practical acha kukariri notes wewe elewa somo
Nimeelewa sasa mkuu,12.5 ni makadirio ya umri wa kuishi baada ya kustaafu.Kuanzia leo ujue unachoongea uongo
Nenda kaulize mfuko.wowote wa pension uelimishwe
Kweli, wasije kuishia Segerea bure.Wengine wanatumia alama za vidole kama unavyosajili simu wana vimashine vyao mtu ukienda hata uwe pacha wa Marehemu hutoboi unaweka dole kinatoka kitambulisho chako cha taifa sasa wewe kama siye dole tu hakitatoka
UongoKuna watu wanayala na mzee ashakufa mwaka wa pili
Ulikoikota hiyo formula kaulize huko huko ila mafao ya kila mwezi huwa hayakomi hadi mstaafu afariki dunia hata awe na miaka mia wakati alistaafu akiwa ana miaka 60Hebu nisahihishe ile 12.5 kwenye formula maana yake nini?
TENA SASA NI KWA ALAMA ZA VIDOLE, HUENDI NA PICHASio kweli kuna uhakiki hufanyika physically asipoonekana wanasimamisha
Wasipotoa taarifa yatadumu ad mwisho
Kila January wastaafu hutakiwa kutoa taarifa kwamba bado wapo hai,asipotoa taarifa hata Kama yu hai hapati mpungaWanajanvi naomba msaada. Ivi mstaafu akishafariki pesa alizokua anazolipwa kila mwezi huwa zinakoma baada ya mda gani? Haswa kwa sheria zao za mafao ya wastafu
Zamani hata miaka 5 ila sasa uhakiki wa face to face hutoboi. Labda mumtafute ndugu anayefanana naye awe anakwenda yeye kuhakikiwa
Analipwa miaka 12.5 baada ya kustaafu acha ubishi
Hiyo miaka huwa ni kigezo cha chini cha mfanyakazi kuweza kuchangia michango ili kuwa na sifa ya kulipwa pensheni. Ndio maana serikalini/sekta binafsi mwisho wa umri wa kuajiriwa huwa ni miaka 45,ili aweze kuwa na miaka 15 ya kuchangia hadi ana stafu. Ndio maana kwenye fomula wanaitumia hiyo 12.5.Hebu nisahihishe ile 12.5 kwenye formula maana yake nini?
Miaka 12.5 ni kadilio tu la kuwa utaishi miaka 12.5 baada ya kustaafu. Ukitoboa hiyo 12.5 utaendelea kulipwa mpaka ufe