Mstaafu Kasinde Matata 🥰

Mstaafu Kasinde Matata 🥰

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
Wakulungwa hamjamboooo....!??

Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.

Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.

Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...

Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...😅😅

245CCB44-93A3-4155-82B4-3D2C32526838.jpeg


93B518C4-E08E-4536-BE53-41CB65E30C3D.jpeg


1F7148AB-16A5-4D31-94A5-A3B88A58E8E3.jpeg


2AF7360D-B8A5-44C5-82DC-B93034E91652.jpeg


Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.

Update:

Wacha nimalizie matukio ambayo sikuyarusha kwa wakati..,,
6741D59B-0122-46BE-B7BB-41FBEC78FF86.jpeg


Mjini kutamu nyieee.... acha tuu

Pamoja na kuwa nimestaafu shamba siendi ng’oo...😜

CBA320D6-4E99-4DE0-91B2-C9B4E7F36048.jpeg

Wakulungwa si watu wazuri....

Walimtegea jiwe bi Kasinde, nilijikwaa ila sikuanguka... kiatu ndo kilipata hitilafu ikabidi nipate huduma kwa shushani...
 
Wakulungwa hamjamboooo....!??

Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.

Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.

Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...

Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...[emoji28][emoji28]

View attachment 2079267

View attachment 2079268

View attachment 2079269

View attachment 2079270

Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.

Nije kukusaidia kutunza hela[emoji4]
 
Wakulungwa hamjamboooo....!??

Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.

Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.

Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...

Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...[emoji28][emoji28]

View attachment 2079267

View attachment 2079268

View attachment 2079269

View attachment 2079270

Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.
Hongera bibi Kasinde
Karibu inyonga Kwa wajomba zako

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wakulungwa hamjamboooo....!??

Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.

Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.

Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...

Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...[emoji28][emoji28]

View attachment 2079267

View attachment 2079268

View attachment 2079269

View attachment 2079270

Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.

Hongera sana kwa utumishi wa mda mrefu,ila kuwa makini,kuna wimbi la watoto kuua wazazi linaendelea[emoji3]
 
Wakulungwa hamjamboooo....!??

Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.

Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.

Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...

Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...😅😅

View attachment 2079267

View attachment 2079268

View attachment 2079269

View attachment 2079270

Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.

Hongera sana Kasie, nakuombea maisha mazuri na marefu ya ustaafu baada ya kuitumikia Jamhuri. Kwa humu JF wewe ni kati ya watu wachache ambao siku zote uko positive, na unapenda wengine wafurahi. Kila lakheri Kasie.
 
Hongera Bibi Kwa kulitumikia taifa lako Kwa Miaka mingi hiyo,
Ila nakuomba Sana baada ya kuipata stahiki Yako Kaa mbali na
Motivation speakers hao wakiona ushapata papers watajidai wanakupa mbinu za kufuga kuku wapuuzie ukifika msimu wa mdondo zitapukutika zote!

NB: huo ni mfano tu
Enjoy yourself!
 
Bwana mi sijaelewa, eti umestaafu. Maandishi yako hayaoneshi chembechembe za uzee mbona.
 
Unaweza kuwa mtu mzima Ila siamini kama ni uzee wa kustaafu.
 
Back
Top Bottom