Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Wakulungwa hamjamboooo....!??
Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.
Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.
Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...
Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...😅😅
Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.
Update:
Wacha nimalizie matukio ambayo sikuyarusha kwa wakati..,,
Mjini kutamu nyieee.... acha tuu
Pamoja na kuwa nimestaafu shamba siendi ng’oo...😜
Wakulungwa si watu wazuri....
Walimtegea jiwe bi Kasinde, nilijikwaa ila sikuanguka... kiatu ndo kilipata hitilafu ikabidi nipate huduma kwa shushani...
Ule wakati niliokuwa nausubiria kwa hamu sasa umefika. Hatimaye bibi Kasinde amestaafu na kulipwa stahiki yake kwa kuitumikia Jamuhuriya Muungano wa Tanzania kwa kipindi kisichopungua miaka 35.
Yaani waliosema pesa sabuni ya roho hawakukosea, mweeh mweeh yaani najikuta namtabasamia kila nnayepishana naye njiani.
Hapa natembea kwa mguu hadi Ocean Road nikashangae na bahari...
Magorofa nimeyashangaa hadi naona shingo inataka kwenda mrama sasa...😅😅
Karibuni tukale samaki wa baharini kwa wale walioko feri.
Update:
Wacha nimalizie matukio ambayo sikuyarusha kwa wakati..,,
Mjini kutamu nyieee.... acha tuu
Pamoja na kuwa nimestaafu shamba siendi ng’oo...😜
Wakulungwa si watu wazuri....
Walimtegea jiwe bi Kasinde, nilijikwaa ila sikuanguka... kiatu ndo kilipata hitilafu ikabidi nipate huduma kwa shushani...