Uchaguzi 2020 Mstahiki Meya wa Ubungo Boniface Jackob achukua fomu ya kuomba ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa Kishindo

Uchaguzi 2020 Mstahiki Meya wa Ubungo Boniface Jackob achukua fomu ya kuomba ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa Kishindo

Acha kudanganya kwan wapinzani waliokuwepo bungeni miaka iliyopita walishindaje mbona tume ni hii hii ya sasa?
Wewe ndie unaejidanganya, tawala iliyopita na tawala hii ni vitu viwili vyenye utofauti mkubwa sana, endelea kutunza maneno hya Mungu akitupa uzima utarudi kuja kudhibitisha.
 
Hangover ya faru John hiyo....tatizo lenu hamsomi between lines....bavicha wepesi Sana sijui wapi mlikopewa kichwa na kuwa overrated...,supu njema😂
Uko shalow sana, unajikeshesha upate Bwana
 
Kusipokuwa na zengwe, jamaa akipewa nafasi ya kuwakilisha chama chake kiti cha ubunge Ubungo kitakuwa na ushindani sana
 
Back
Top Bottom