Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Wewe ndie unaejidanganya, tawala iliyopita na tawala hii ni vitu viwili vyenye utofauti mkubwa sana, endelea kutunza maneno hya Mungu akitupa uzima utarudi kuja kudhibitisha.Acha kudanganya kwan wapinzani waliokuwepo bungeni miaka iliyopita walishindaje mbona tume ni hii hii ya sasa?