"Msukule" wa Mapenzi...

MBU najaribu kuwaza hapa, hivi ex ambae sikuzaaa nae kwa mfano anawezaje kunifanya msukule,

...Akitaka anaweza sana tu iwapo ulishawahi kumruhusu akufanyie mojawapo au zaidi katika haya yaliyomo kwenye Pie hii;



...have you ever suffered any kind/form of Abuse tajwa hapo juu?
 

...Akitaka anaweza sana tu iwapo ulishawahi kumruhusu akufanyie mojawapo au zaidi katika haya yaliyomo kwenye Pie hii;


...have you ever suffered any kind/form of Abuse tajwa hapo juu?


nshawahi fanyiwa baadhi ya mambo yaliyopo kwenye hiyo chart hapo juu, ila nilikuwa ndani ya mahusiano, baada ya kuachana alitaka kuendeleza mawasiliano, mara atume picha, mara aniambie amelazwa, majibu yangu yalikuwa awasiliane ana alie mimi siitaji kuwasiliana nae,na akiugua amjulishe alienae mimi sina msaada, nilikuwa mkorofi sana kwake baada ya kuachana, kilichobaki siku hizi ni salamu tu tena tukikutana njiani.


hivi unaweza kufanywa msukule ukiwa mapenzini
 
Reactions: Mbu

Fab!!! I hope wenzako nao watachukulia mfano wako ili nao wajikomboe tokea kwenye makucha!
Swali lako la pili, jibu lake linakurudisha kwenye hiyo hiyo pie chart..kuwa 'Abused' ndio usukule wenyewe huo!
 
Sikuiona hii nyuzi b4 today! Interesting topic! Nilishafanywa msukule kwa threat kibao hadi za suicide, just like ADii it took me some time to say it is enough!

Why did it took a lot of time? Ni pamoja na Pride; watu watasema, na kuogopa kuwa jamaa atacommit suicide! Lakini baada ya kusema inatosha, huwezi amini jinsi gani nimekuwa strong au u can also rightly say nimekuwa na roho ngumu!

Nimeshafanya mtu msukule? Sijui; sijaona hata mmoja humu ndani aliyesema ndio but l am sure wengi watakuwa wamewafanya wenzi wao! May be l have, l was in love (real love) with a married man, tuna mtoto pamoja! We communicate na anaprovide for mtoto.

Tuliachana vipi? Mimi ndie niliamua kuend relation baada ya kuona haiendi popote, n it took yrs to start a new relation iliyonifanya niwe msukule! Na l think huyu new jamaa aligundua kuwa siwezi kumpa moyo wangu kama nilivyofall kwa mume wa mtu!

Pls wale ambao tunahisi tumewafanya wenzetu misukule let's share that as well, there is monster in each of us!
 
Reactions: Mbu
....unapom date mtu,...halafu kwa sababu moja au nyingine akajiona bado hawatendei haki ex-wake kwa kuwa kwenye relationship na wewe ni aina mojawapo ya usukule.

twawezaje kumsaidia mtu kama huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…