Msukuma siyo wa kumuamini, ni muovu wa fikra na muovu katika maisha yake

Msukuma siyo wa kumuamini, ni muovu wa fikra na muovu katika maisha yake

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Inaumiza kuona mijitu miovu isiyo na soni inatamba mitaani. Híi ni kwasabb jamii ya kitanzania inatukuza matajiri na utajiri pasipo kufuatilia ulipatikanaje.

Nchi yetu ingelikuwa ni nchi yenye kuheshimu maadili, Msukuma angelikuwa jela. Lkn cha ajabu amekuwa akitamba mitaani na kuwatukana mpk wasomi bungeni eti kuwa yeye ana akili kuliko maprofesa kwasabb tu ana pesa kuwazidi. Rubbish!

Msukuma aliupataje utajiri wake? Nafahamu hivi karibuni ktk chombo kimojawapo cha habari alidai kuwa ameanzia kwenye umachinga wa kuuza viatu mpk akafika hatua ya kununua gari la kifahari. Hii siyo kweli.

Waovu ndiyo zao hizi tabia za kutafuta uhalali wa mali zao haramu. Atuambie pia ni lini alianza na lini aliacha utekaji wa mabasi huko Kanda ya ziwa na ilimpa faida kiasi gani. Mbona hii haongei kwenye media?

Hajaacha hadi leo kufanya kazi haramu. Soma hii:- DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria

Simshangi hadi leo anaposhadadia suala ambalo linalalamikiwa na watanzania la uwekezaji wa DPW. Kwake yeye Msukuma mambo haramu ndiyo yanayompendeza.

Josefu kasheku Msukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini Kumpigia Makofi Tundu Lissu. Aongea kwa hasira

Akibisha nakuja na makala kamili kuhusu utekaji wa mabasi na yule mwanasiasa wa upinzani aliyemuua 2015.
 
Inaumiza kuona mijitu miovu isiyo na soni inatamba mitaani. Híi ni kwasabb jamii ya kitanzania inatukuza matajiri na utajiri pasipo kufuatilia ulipatikanaje.

Nchi yetu ingelikuwa ni nchi yenye kuheshimu maadili, Msukuma angelikuwa jela. Lkn cha ajabu amekuwa akitamba
Nchi inapokuwa na 'MAJAMBAZI' kwenye nafasi za uongozi hali ndani ya nchi hiyo haiwezi kuwa shwari.
 
Akibisha nakuja na makala kamili kuhusu utekaji wa mabasi na yule mwanasiasa wa upinzani aliyemuua 2015.
Siku moja nilikua nasafiri Kutoka Dar kwenda Dodoma Kwa dharura, hivyo nilienda pale Kimara, nikapata gari usiku saa mbilli, walikua ni Wasukuma wametoka Dar kununua hio gari, VX.

Tukiwa njiani story zikanoga, jamaa wakawa wanapiga story kuhusu utajiri wa huyo jamaa, wakaeleza pia Kuhusu Mkurugenzi sijui alinunua gari kitu ambacho Msukuma hakupenda, akamchongea Kwa Magu jamaa akapigwa chini, akaeleza kuhusu namna alivyoshiriki kwenye matukio ya ajabu....Kwa kifupi ilikua inatisha!
 
Uzi huu unanikumbusha wa mpumbavu mmoja aliyependekeza asas apewe ubunge wa iringa, kisa ana pesa nyingi!!,pesa za ujangili wa kuua tembo wetu, watanzania sio wote ni wapumbavu, kuna tajiri mmoja pale morogoro, kampuni yake inaanza na herufu B,kapiga sana tembo tunduru mpaka akaanzisha kampuni ya usafirishaji wa abiria kutoka Dar kwenda songea ili kumrahisishia kusafirisha pembe zetu,siku upepo utakapo kuja kubadilika ,ni dockets kuandaliwa na kupelekwa mahakamani, tembo wetu wa selous game reserve wameuliwa sana na so called rich business people's, TIME ni mwamuzi wa HAKI
 
Inaumiza kuona mijitu miovu isiyo na soni inatamba mitaani. Híi ni kwasabb jamii ya kitanzania inatukuza matajiri na utajiri pasipo kufuatilia ulipatikanaje.

Nchi yetu ingelikuwa ni nchi yenye kuheshimu maadili, Msukuma angelikuwa jela. Lkn cha ajabu amekuwa akitamba mitaani na kuwatukana mpk wasomi bungeni eti kuwa yeye ana akili kuliko maprofesa kwasabb tu ana pesa kuwazidi. Rubbish!

Msukuma aliupataje utajiri wake? Nafahamu hivi karibuni ktk chombo kimojawapo cha habari alidai kuwa ameanzia kwenye umachinga wa kuuza viatu mpk akafika hatua ya kununua gari la kifahari. Hii siyo kweli.

Waovu ndiyo zao hizi tabia za kutafuta uhalali wa mali zao haramu. Atuambie pia ni lini alianza na lini aliacha utekaji wa mabasi huko Kanda ya ziwa na ilimpa faida kiasi gani. Mbona hii haongei kwenye media?

Hajaacha hadi leo kufanya kazi haramu. Soma hii:- DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria

Simshangi hadi leo anaposhadadia suala ambalo linalalamikiwa na watanzania la uwekezaji wa DPW. Kwake yeye Msukuma mambo haramu ndiyo yanayompendeza.

Josefu kasheku Msukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini Kumpigia Makofi Tundu Lissu. Aongea kwa hasira

Akibisha nakuja na makala kamili kuhusu utekaji wa mabasi na yule mwanasiasa wa upinzani aliyemuua 2015.
Kakumba nayo nadhani alipigamo

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Inaumiza kuona mijitu miovu isiyo na soni inatamba mitaani. Híi ni kwasabb jamii ya kitanzania inatukuza matajiri na utajiri pasipo kufuatilia ulipatikanaje.

Nchi yetu ingelikuwa ni nchi yenye kuheshimu maadili, Msukuma angelikuwa jela. Lkn cha ajabu amekuwa akitamba mitaani na kuwatukana mpk wasomi bungeni eti kuwa yeye ana akili kuliko maprofesa kwasabb tu ana pesa kuwazidi. Rubbish!

Msukuma aliupataje utajiri wake? Nafahamu hivi karibuni ktk chombo kimojawapo cha habari alidai kuwa ameanzia kwenye umachinga wa kuuza viatu mpk akafika hatua ya kununua gari la kifahari. Hii siyo kweli.

Waovu ndiyo zao hizi tabia za kutafuta uhalali wa mali zao haramu. Atuambie pia ni lini alianza na lini aliacha utekaji wa mabasi huko Kanda ya ziwa na ilimpa faida kiasi gani. Mbona hii haongei kwenye media?

Hajaacha hadi leo kufanya kazi haramu. Soma hii:- DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria

Simshangi hadi leo anaposhadadia suala ambalo linalalamikiwa na watanzania la uwekezaji wa DPW. Kwake yeye Msukuma mambo haramu ndiyo yanayompendeza.

Josefu kasheku Msukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini Kumpigia Makofi Tundu Lissu. Aongea kwa hasira

Akibisha nakuja na makala kamili kuhusu utekaji wa mabasi na yule mwanasiasa wa upinzani aliyemuua 2015.
Kwa nini hajashtakiwa kwa tuhuma zote hizo?
 
Inaumiza kuona mijitu miovu isiyo na soni inatamba mitaani. Híi ni kwasabb jamii ya kitanzania inatukuza matajiri na utajiri pasipo kufuatilia ulipatikanaje.

Nchi yetu ingelikuwa ni nchi yenye kuheshimu maadili, Msukuma angelikuwa jela. Lkn cha ajabu amekuwa akitamba mitaani na kuwatukana mpk wasomi bungeni eti kuwa yeye ana akili kuliko maprofesa kwasabb tu ana pesa kuwazidi. Rubbish!

Msukuma aliupataje utajiri wake? Nafahamu hivi karibuni ktk chombo kimojawapo cha habari alidai kuwa ameanzia kwenye umachinga wa kuuza viatu mpk akafika hatua ya kununua gari la kifahari. Hii siyo kweli.

Waovu ndiyo zao hizi tabia za kutafuta uhalali wa mali zao haramu. Atuambie pia ni lini alianza na lini aliacha utekaji wa mabasi huko Kanda ya ziwa na ilimpa faida kiasi gani. Mbona hii haongei kwenye media?

Hajaacha hadi leo kufanya kazi haramu. Soma hii:- DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria

Simshangi hadi leo anaposhadadia suala ambalo linalalamikiwa na watanzania la uwekezaji wa DPW. Kwake yeye Msukuma mambo haramu ndiyo yanayompendeza.

Josefu kasheku Msukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini Kumpigia Makofi Tundu Lissu. Aongea kwa hasira

Akibisha nakuja na makala kamili kuhusu utekaji wa mabasi na yule mwanasiasa wa upinzani aliyemuua 2015.
Alisema alikuwa anatorosha dhahabu kwenda Kenya
 
Back
Top Bottom