Msukuma siyo wa kumuamini, ni muovu wa fikra na muovu katika maisha yake

Msukuma siyo wa kumuamini, ni muovu wa fikra na muovu katika maisha yake

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Waafrika ni incomplete human beings.

Mtu ana iba, Halafu ana chekewa na kupewa uongozi.

Hata wanyama wametuzidi Akili.
 
Siku moja nilikua nasafiri Kutoka Dar kwenda Dodoma Kwa dharura, hivyo nilienda pale Kimara, nikapata gari usiku saa mbilli, walikua ni Wasukuma wametoka Dar kununua hio gari, VX.

Tukiwa njiani story zikanoga, jamaa wakawa wanapiga story kuhusu utajiri wa huyo jamaa, wakaeleza pia Kuhusu Mkurugenzi sijui alinunua gari kitu ambacho Msukuma hakupenda, akamchongea Kwa Magu jamaa akapigwa chini, akaeleza kuhusu namna alivyoshiriki kwenye matukio ya ajabu....Kwa kifupi ilikua inatisha!
Msukuma mtu wa Majungu na FITINA pia kigeugeu sana ana tabia ya kuwachongea Watendaji wa Setikali
 
Inaumiza kuona mijitu miovu isiyo na soni inatamba mitaani. Híi ni kwasabb jamii ya kitanzania inatukuza matajiri na utajiri pasipo kufuatilia ulipatikanaje.

Nchi yetu ingelikuwa ni nchi yenye kuheshimu maadili, Msukuma angelikuwa jela. Lkn cha ajabu amekuwa akitamba mitaani na kuwatukana mpk wasomi bungeni eti kuwa yeye ana akili kuliko maprofesa kwasabb tu ana pesa kuwazidi. Rubbish!

Msukuma aliupataje utajiri wake? Nafahamu hivi karibuni ktk chombo kimojawapo cha habari alidai kuwa ameanzia kwenye umachinga wa kuuza viatu mpk akafika hatua ya kununua gari la kifahari. Hii siyo kweli.

Waovu ndiyo zao hizi tabia za kutafuta uhalali wa mali zao haramu. Atuambie pia ni lini alianza na lini aliacha utekaji wa mabasi huko Kanda ya ziwa na ilimpa faida kiasi gani. Mbona hii haongei kwenye media?

Hajaacha hadi leo kufanya kazi haramu. Soma hii:- DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria

Simshangi hadi leo anaposhadadia suala ambalo linalalamikiwa na watanzania la uwekezaji wa DPW. Kwake yeye Msukuma mambo haramu ndiyo yanayompendeza.

Josefu kasheku Msukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini Kumpigia Makofi Tundu Lissu. Aongea kwa hasira

Akibisha nakuja na makala kamili kuhusu utekaji wa mabasi na yule mwanasiasa wa upinzani aliyemuua 2015.
Weka source ya hiyo habari
 
Msukuma aliupataje utajiri wake? Nafahamu hivi karibuni ktk chombo kimojawapo cha habari alidai kuwa ameanzia kwenye umachinga wa kuuza viatu mpk akafika hatua ya kununua gari la kifahari. Hii siyo kweli.
Huyu jamaa kwanza ni tapeli mzoefu.
Alikopa mabenki kwa hati za watu aliowarubuni na mkopo hakulipa!
Walipokuja kukamata mali za waliotoa hati akanza danadana za kuwakwepa hawa watu!
Sio mtu wa kuamini hata mara moja, ni kanjanja na wananchi wa Geita tafuteni mtu mkweli 2025.
 
Siku moja nilikua nasafiri Kutoka Dar kwenda Dodoma Kwa dharura, hivyo nilienda pale Kimara, nikapata gari usiku saa mbilli, walikua ni Wasukuma wametoka Dar kununua hio gari, VX.

Tukiwa njiani story zikanoga, jamaa wakawa wanapiga story kuhusu utajiri wa huyo jamaa, wakaeleza pia Kuhusu Mkurugenzi sijui alinunua gari kitu ambacho Msukuma hakupenda, akamchongea Kwa Magu jamaa akapigwa chini, akaeleza kuhusu namna alivyoshiriki kwenye matukio ya ajabu....Kwa kifupi ilikua inatisha!
Huyo jamaa ni jambazi na anaamini sana katika ushirikina. Huko kwenye siasa ameingia ili kupata backup ya uhalifu wake.
 
Inaumiza kuona mijitu miovu isiyo na soni inatamba mitaani. Híi ni kwasabb jamii ya kitanzania inatukuza matajiri na utajiri pasipo kufuatilia ulipatikanaje.

Nchi yetu ingelikuwa ni nchi yenye kuheshimu maadili, Msukuma angelikuwa jela. Lkn cha ajabu amekuwa akitamba mitaani na kuwatukana mpk wasomi bungeni eti kuwa yeye ana akili kuliko maprofesa kwasabb tu ana pesa kuwazidi. Rubbish!

Msukuma aliupataje utajiri wake? Nafahamu hivi karibuni ktk chombo kimojawapo cha habari alidai kuwa ameanzia kwenye umachinga wa kuuza viatu mpk akafika hatua ya kununua gari la kifahari. Hii siyo kweli.

Waovu ndiyo zao hizi tabia za kutafuta uhalali wa mali zao haramu. Atuambie pia ni lini alianza na lini aliacha utekaji wa mabasi huko Kanda ya ziwa na ilimpa faida kiasi gani. Mbona hii haongei kwenye media?

Hajaacha hadi leo kufanya kazi haramu. Soma hii:- DOKEZO - Musukuma na Mashimba Ndaki watuhumiwa kufadhili Uvuvi haramu Ziwa Victoria

Simshangi hadi leo anaposhadadia suala ambalo linalalamikiwa na watanzania la uwekezaji wa DPW. Kwake yeye Msukuma mambo haramu ndiyo yanayompendeza.

Josefu kasheku Msukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini Kumpigia Makofi Tundu Lissu. Aongea kwa hasira

Akibisha nakuja na makala kamili kuhusu utekaji wa mabasi na yule mwanasiasa wa upinzani aliyemuua 2015.
Hakika kumekucha!
 
Kwahiyo Mbowe ndiyo ana utajiri wa Hali? Hiki chama hata CCM ikosee vipi sidhan km kitapewa hii nchi
 
Wachaga ambao ni majambazi wa nchi hawawezi kusemwa hapa
 
Huyu jamaa kwanza ni tapeli mzoefu.
Alikopa mabenki kwa hati za watu aliowarubuni na mkopo hakulipa!
Walipokuja kukamata mali za waliotoa hati akanza danadana za kuwakwepa hawa watu!
Sio mtu wa kuamini hata mara moja, ni kanjanja na wananchi wa Geita tafuteni mtu mkweli 2025.
Huyu huyu msukuma anayedai katika listi ya mabilionea hapa nchini jina lake haliwezi kukosekana kumbe ni bilionea wa kutapeli mikopo benki! huyu jamaa chenga sana na siku zote huwa anatafuta confidence kwa kutaka kujilinganisha na wasomi kwa mafanikio yake ya janja janja.​
 
Msukuma muhuni, amemtapeli rafiki yangu materials ya ujenzi wa appartment zake zaidi ya milioni 50, ni tapeli Wala usijaribu kufanya biashara nae Kwa Mkopo, ni tapeli na anakuambia huwezi kumfanya kitu
 
Ni mwizi na tapeli ambaye aliyetegemea kuishi kwa kuwashinikiza wakuu wa Idara Halnashauri wampe miradi na fedha za rushwa alipokuwa Mwenyekiti Geita. Kiufupi HAFAI.
 
Back
Top Bottom