Kusoma sio kufaulu ila aliyefaulu kasoma. Kwa hiyo ili ufaulu kuna mbinu flan flan ambae anaesoma anatakiwa azijue kulingana na somo husika. Mfano usomaji na unapojib mtihan wa history O au A-level ni tofauti na somo la geography au economics, na hata pia uandikaji wa essay (essay basics)nao huchangia mtu kufaulu au kufeli