choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Mechi zimesogezwa nyingi tuu kupisha AFCONBaba yetu mlezi TFF alishaliona hilo akapeleka mechi January huko ili tujipange mkuu usiogope. Ikifika mida hiyo kama bado kikosi kibovu kasema atapeleka mechi yetu na azam December 2026 usihofu kabisa.
Kwa Simba hii awatoweza kukiepuka kikombe Cha Azam, watachapwa vizuri sana na wakicheza vibaya zile 5 zinaweza kurudiKwa kiwango cha wachezaji wa Simba, tusubirie tuu kubugizwa goli 2-0 au 3-0 na Azam fc, na huo ndio utakua msumari wa mwisho kwenye jeneza la Simba
Gibril silla
Prince Dube
Kipre junior
Itahitajika miujiza haswa kuzuia hawa jamaa wasiifunge beki goigoi ya Simba goli chini ya 2
Feisal Salum
Yanik bangala
Sospeter bajana
Viungo wetu mzamiru, kanuti na Ngoma hawataiweza hii batlle
Huku mbele tukiwa na mkosa magoli Jean Baleke wakati huo kipa wa Azam anageuka prime Manuel Neuver
Hii ya Simba na azam ilisogezwa lini? Unajua kama hii mechi kwa ratiba ilikuwa ichezwe kabla ya mechi ya Simba na kmc? Unajua hicho kitu?Mechi zimesogezwa nyingi tuu kupisha AFCON
Hiyo sifahamu mkuuHii ya Simba na azam ilisogezwa lini? Unajua kama hii mechi kwa ratiba ilikuwa ichezwe kabla ya mechi ya Simba na kmc? Unajua hicho kitu?
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha......Baba yetu mlezi TFF alishaliona hilo akapeleka mechi January huko ili tujipange mkuu usiogope. Ikifika mida hiyo kama bado kikosi kibovu kasema atapeleka mechi yetu na azam December 2026 usihofu kabisa.
Sio tu na kmc ilitakiwa tu baada ya mechi ya namungo na Simba alitakiwa acheze na Azam ...ikapelekwa tarehe 1 , baba yenu mlezi wa tff akaona aibu IPO pale pale akairusha Tena Hadi tarehe 13 janwaryHii ya Simba na azam ilisogezwa lini? Unajua kama hii mechi kwa ratiba ilikuwa ichezwe kabla ya mechi ya Simba na kmc? Unajua hicho kitu?
Hakika wana baba mlezi ndani ya tff.Sio tu na kmc ilitakiwa tu baada ya mechi ya namungo na Simba alitakiwa acheze na Azam ...ikapelekwa tarehe 1 , baba yenu mlezi wa tff akaona aibu IPO pale pale akairusha Tena Hadi tarehe 13 janwary
Hii mechi tumekubaliana na Bodi ya Ligi iahirishwe kadiri iwezekanavyo. Maana hakuna namna nyingine ya kuepukana na fedheha.Kwa kiwango cha wachezaji wa Simba, tusubirie tuu kubugizwa goli 2-0 au 3-0 na Azam fc, na huo ndio utakua msumari wa mwisho kwenye jeneza la Simba
Gibril silla
Prince Dube
Kipre junior
Itahitajika miujiza haswa kuzuia hawa jamaa wasiifunge beki goigoi ya Simba goli chini ya 2
Feisal Salum
Yanik bangala
Sospeter bajana
Viungo wetu mzamiru, kanuti na Ngoma hawataiweza hii batlle
Huku mbele tukiwa na mkosa magoli Jean Baleke wakati huo kipa wa Azam anageuka prime Manuel Neuver
Mechi zimesogezwa nyingi tuu kupisha AFCON
Kwa kiwango hiki hapanaHii Mechi Simba W or D utakuja kunishukuru.
Kuna mwaka mechi ya duru la kwanza kati ya AZAM na moja wapo kati ya YANGA au SIMBA ilichezwa wakati duru la pili limeshaanza kwa mizunguko isiyopungua mitatu.Baba yetu mlezi TFF alishaliona hilo akapeleka mechi January huko ili tujipange mkuu usiogope. Ikifika mida hiyo kama bado kikosi kibovu kasema atapeleka mechi yetu na azam December 2026 usihofu kabisa.
Azam angepiga kwenye mshonoHii mechi tumekubaliana na Bodi ya Ligi iahirishwe kadiri iwezekanavyo. Maana hakuna namna nyingine ya kuepukana na fedheha.
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baba yetu mlezi TFF alishaliona hilo akapeleka mechi January huko ili tujipange mkuu usiogope. Ikifika mida hiyo kama bado kikosi kibovu kasema atapeleka mechi yetu na azam December 2026 usihofu kabisa.