choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Kwa kiwango cha wachezaji wa Simba, tusubirie tuu kubugizwa goli 2-0 au 3-0 na Azam fc, na huo ndio utakua msumari wa mwisho kwenye jeneza la Simba
Gibril silla
Prince Dube
Kipre junior
Itahitajika miujiza haswa kuzuia hawa jamaa wasiifunge beki goigoi ya Simba goli chini ya 2
Feisal Salum
Yanik bangala
Sospeter bajana
Viungo wetu mzamiru, kanuti na Ngoma hawataiweza hii batlle
Huku mbele tukiwa na mkosa magoli Jean Baleke wakati huo kipa wa Azam anageuka prime Manuel Neuver
Gibril silla
Prince Dube
Kipre junior
Itahitajika miujiza haswa kuzuia hawa jamaa wasiifunge beki goigoi ya Simba goli chini ya 2
Feisal Salum
Yanik bangala
Sospeter bajana
Viungo wetu mzamiru, kanuti na Ngoma hawataiweza hii batlle
Huku mbele tukiwa na mkosa magoli Jean Baleke wakati huo kipa wa Azam anageuka prime Manuel Neuver