Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hii match karia na bodi ya ligi wanaipeleka mbele kila mara ili makolo wapate kusajili ili wakikutana makolo wasipigwe nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mpka mwiko uchomolewe kazi ipoTatizo ni mwiko huko...
Imeshapenya hiyo[emoji382][emoji375] hadi kwenye mfupa ndiyomaana umejibu bila kupenda [emoji4]Tatizo ni mwiko huko...
Azam atapigwa 5 kama kolo. Subiri uone, tuombe tu uzima.Hata utopolo round ya pili haitabahatisha bahatisha kama mechi iliyopita
Goli tano dhidi ya timu kubwa hazitokei tokei kizembe kama unavyofikiriaAzam atapigwa 5 kama kolo. Subiri uone, tuombe tu uzima.
Mlisema hivyo hivyo lkn mkala mkono.Goli tano dhidi ya timu kubwa hazitokei tokei kizembe kama unavyofikiria
Na hiyo 13 January haitachezwa.Sio tu na kmc ilitakiwa tu baada ya mechi ya namungo na Simba alitakiwa acheze na Azam ...ikapelekwa tarehe 1 , baba yenu mlezi wa tff akaona aibu IPO pale pale akairusha Tena Hadi tarehe 13 janwary
Wangekaba aje pale kwenye box na mpira ulikua ni rebound kutoka kwa kipa?Simba inafika mahali wanakabia kwa macho.
Angalia goli la pili la KMC.
Tangu tuwafunge mkono 2012, lini tena mkono ulitokea? Mbona utopolo hamna hata rekodi vyura wahed nyieMlisema hivyo hivyo lkn mkala mkono.