Msumbiji itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani miaka 30 ijayo

Msumbiji itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani miaka 30 ijayo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno.
Kinachohitajika ni akili mpya, mtazamo mpya, watu wapya na hari mpya.
Nchi ya Marekani ilipata hari mpya, watu wapya, fikra mpya mara tu baada ya watu kupigana na kuuana sana mpaka wenyewe wakanyoosha mikono kusema inatosha.
Hawa Msumbiji watadundana sana, watauana sana. Wakimalizana na Dola wataanza kupigana kwa mtazamo mwingine. Watauana sana mpaka watasema it's enough.
Hapo wataijenga New Mozambique. Gesi na mafuta vitaleta tija kwa kila raia . Nawaona wako mbali sana miaka 30 mbele. By 2050 watakuwa miongoni mwa matajiri si tu ndani ya Afrika bali worldwide.
Rwanda baada ya kupelekeana moto mnaona sasa wanavyoishi. Wana rasilimali chache tu lakini wako mbali sana.
Watanzania tudumishe amani.
Mtu ambaye freezer yake imejaa minofu hataki taarifa za msiba mkoani kwake anajua ataacha nyama kwenye freezer ziliwe na dada & kaka wa kazi.
Sijasema vita huleta maendeleo ila Kuna aina ya vita huzaa hari mpya, watu wapya na fikra mpya.
 
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno.
Kinachohitajika ni akili mpya, mtazamo mpya, watu wapya na hari mpya.
Nchi ya Marekani ilipata hari mpya, watu wapya, fikra mpya mara tu baada ya watu kupigana na kuuana sana mpaka wenyewe wakanyoosha mikono kusema inatosha.
Hawa Msumbiji watadundana sana, watauana sana. Wakimalizana na Dola wataanza kupigana kwa mtazamo mwingine. Watauana sana mpaka watasema it's enough.
Hapo wataijenga New Mozambique. Gesi na mafuta vitaleta tija kwa kila raia . Nawaona wako mbali sana miaka 30 mbele. By 2050 watakuwa miongoni mwa matajiri si tu ndani ya Afrika bali worldwide.
Rwanda baada ya kupelekeana moto mnaona sasa wanavyoishi. Wana rasilimali chache tu lakini wako mbali sana.
Watanzania tudumishe amani.
Mtu ambaye freezer yake imejaa minofu hataki taarifa za msiba mkoani kwake anajua ataacha nyama kwenye freezer ziliwe na dada & kaka wa kazi.
Sijasema vita huleta maendeleo ila Kuna aina ya vita huzaa hari mpya, watu wapya na fikra mpya.
Hata ueleweki mara tutunze amani mara tupagane tupate hali mpya, akili za wasomi wetu ni sawa sawa na bila elimu duh.
 
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno.
Kinachohitajika ni akili mpya, mtazamo mpya, watu wapya na hari mpya.
Nchi ya Marekani ilipata hari mpya, watu wapya, fikra mpya mara tu baada ya watu kupigana na kuuana sana mpaka wenyewe wakanyoosha mikono kusema inatosha.
Hawa Msumbiji watadundana sana, watauana sana. Wakimalizana na Dola wataanza kupigana kwa mtazamo mwingine. Watauana sana mpaka watasema it's enough.
Hapo wataijenga New Mozambique. Gesi na mafuta vitaleta tija kwa kila raia . Nawaona wako mbali sana miaka 30 mbele. By 2050 watakuwa miongoni mwa matajiri si tu ndani ya Afrika bali worldwide.
Rwanda baada ya kupelekeana moto mnaona sasa wanavyoishi. Wana rasilimali chache tu lakini wako mbali sana.
Watanzania tudumishe amani.
Mtu ambaye freezer yake imejaa minofu hataki taarifa za msiba mkoani kwake anajua ataacha nyama kwenye freezer ziliwe na dada & kaka wa kazi.
Sijasema vita huleta maendeleo ila Kuna aina ya vita huzaa hari mpya, watu wapya na fikra mpya.
Kwahiyo kwa mtazamo wako Msumbiji wameanza kudundana leo? Ahahahahaha!!!
 
Tatizo la mbantu sio unayoyaona bali ni baadhi ya viongozi wanapopata madaraka wanakuwa majizi ya kutupa
Hiyo Rwanda mpaka kufika hapo unajua wameuwawa wangapi
Wakati mwingine taifa linatakiwa ku sacrifice na kuuwa majizi ya mali ya umma ili mengine yanyooke
Sisi kila sehemu ukienda ni upigaji
Mawaziri na wakurugenzi wanaibua madudu na wizi ila mwisho wa siku huoni aliefungwa maisha bali naona kama wanaomba nao mgao wao

Bila kukomesha wizi kwa vitendo huwezi kuwa na Taifa lenye maadili na kutunza rasilimali zake

Mkitaka mnaweza
Screenshot_20241227_100111_Photos~2.png
 
Tatizo la mbantu sio unayoyaona bali ni baadhi ya viongozi wanapopata madaraka wanakuwa majizi ya kutupa
Hiyo Rwanda mpaka kufika hapo unajua wameuwawa wangapi
Wakati mwingine taifa linatakiwa ku sacrifice na kuuwa majizi ya mali ya umma ili mengine yanyooke
Sisi kila sehemu ukienda ni upigaji
Mawaziri na wakurugenzi wanaibua madudu na wizi ila mwisho wa siku huoni aliefungwa maisha bali naona kama wanaomba nao mgao wao

Bila kukomesha wizi kwa vitendo huwezi kuwa na Taifa lenye maadili na kutunza rasilimali zake

Mkitaka mnaweza View attachment 3186241
Stolen from Gold coast or given by people from Gold coast?
 
Zikija akili nyie ndio wa kwanza kuzipinga kwa kigezo cha democrasia. Was wahalifu hamueleweki mnataka nini.
 
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno.
Kinachohitajika ni akili mpya, mtazamo mpya, watu wapya na hari mpya.
Nchi ya Marekani ilipata hari mpya, watu wapya, fikra mpya mara tu baada ya watu kupigana na kuuana sana mpaka wenyewe wakanyoosha mikono kusema inatosha.
Hawa Msumbiji watadundana sana, watauana sana. Wakimalizana na Dola wataanza kupigana kwa mtazamo mwingine. Watauana sana mpaka watasema it's enough.
Hapo wataijenga New Mozambique. Gesi na mafuta vitaleta tija kwa kila raia . Nawaona wako mbali sana miaka 30 mbele. By 2050 watakuwa miongoni mwa matajiri si tu ndani ya Afrika bali worldwide.
Rwanda baada ya kupelekeana moto mnaona sasa wanavyoishi. Wana rasilimali chache tu lakini wako mbali sana.
Watanzania tudumishe amani.
Mtu ambaye freezer yake imejaa minofu hataki taarifa za msiba mkoani kwake anajua ataacha nyama kwenye freezer ziliwe na dada & kaka wa kazi.
Sijasema vita huleta maendeleo ila Kuna aina ya vita huzaa hari mpya, watu wapya na fikra mpya.
Hapo kwa rwanda ni mwizi wa madini ya kule congo
 
Back
Top Bottom