Msumbiji itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani miaka 30 ijayo

Msumbiji itakuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani miaka 30 ijayo

Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno.
Kinachohitajika ni akili mpya, mtazamo mpya, watu wapya na hari mpya.
Nchi ya Marekani ilipata hari mpya, watu wapya, fikra mpya mara tu baada ya watu kupigana na kuuana sana mpaka wenyewe wakanyoosha mikono kusema inatosha.
Hawa Msumbiji watadundana sana, watauana sana. Wakimalizana na Dola wataanza kupigana kwa mtazamo mwingine. Watauana sana mpaka watasema it's enough.
Hapo wataijenga New Mozambique. Gesi na mafuta vitaleta tija kwa kila raia . Nawaona wako mbali sana miaka 30 mbele. By 2050 watakuwa miongoni mwa matajiri si tu ndani ya Afrika bali worldwide.
Rwanda baada ya kupelekeana moto mnaona sasa wanavyoishi. Wana rasilimali chache tu lakini wako mbali sana.
Watanzania tudumishe amani.
Mtu ambaye freezer yake imejaa minofu hataki taarifa za msiba mkoani kwake anajua ataacha nyama kwenye freezer ziliwe na dada & kaka wa kazi.
Sijasema vita huleta maendeleo ila Kuna aina ya vita huzaa hari mpya, watu wapya na fikra mpya.
Si kweli
 
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno.
Kinachohitajika ni akili mpya, mtazamo mpya, watu wapya na hari mpya.
Nchi ya Marekani ilipata hari mpya, watu wapya, fikra mpya mara tu baada ya watu kupigana na kuuana sana mpaka wenyewe wakanyoosha mikono kusema inatosha.
Hawa Msumbiji watadundana sana, watauana sana. Wakimalizana na Dola wataanza kupigana kwa mtazamo mwingine. Watauana sana mpaka watasema it's enough.
Hapo wataijenga New Mozambique. Gesi na mafuta vitaleta tija kwa kila raia . Nawaona wako mbali sana miaka 30 mbele. By 2050 watakuwa miongoni mwa matajiri si tu ndani ya Afrika bali worldwide.
Rwanda baada ya kupelekeana moto mnaona sasa wanavyoishi. Wana rasilimali chache tu lakini wako mbali sana.
Watanzania tudumishe amani.
Mtu ambaye freezer yake imejaa minofu hataki taarifa za msiba mkoani kwake anajua ataacha nyama kwenye freezer ziliwe na dada & kaka wa kazi.
Sijasema vita huleta maendeleo ila Kuna aina ya vita huzaa hari mpya, watu wapya na fikra mpya.
Hilo liko wazi.Huwezi sikia Lugha za kipumbavu huko Mozambique kama za hapa Tanzania

Msumbiji hawasemi Wazungu wamepewa Mali zao.

Msumbiji hawasemi Waarabu wamepewa Bandari

Msumbiji hawana masharti ya kipumbavu pumbavu ya hovyo hovyo kwenye Madini Yao mfano gesi,chuma nk

Wala Msumbiji hawajilalamishi ujinga kama hapa Tanzania

Na ilivyo na Mali lazima wataendelea
 
Katika nchi ambazo Mungu ameweka rasilimali nyingi ardhini ni pamoja na Msumbiji, Kongo, Zimbabwe, Zambia, Angola na Tanzania.
Lakini hizo nchi tajwa zina watu wenye maisha magumu mno.
Kinachohitajika ni akili mpya, mtazamo mpya, watu wapya na hari mpya.
Nchi ya Marekani ilipata hari mpya, watu wapya, fikra mpya mara tu baada ya watu kupigana na kuuana sana mpaka wenyewe wakanyoosha mikono kusema inatosha.
Hawa Msumbiji watadundana sana, watauana sana. Wakimalizana na Dola wataanza kupigana kwa mtazamo mwingine. Watauana sana mpaka watasema it's enough.
Hapo wataijenga New Mozambique. Gesi na mafuta vitaleta tija kwa kila raia . Nawaona wako mbali sana miaka 30 mbele. By 2050 watakuwa miongoni mwa matajiri si tu ndani ya Afrika bali worldwide.
Rwanda baada ya kupelekeana moto mnaona sasa wanavyoishi. Wana rasilimali chache tu lakini wako mbali sana.
Watanzania tudumishe amani.
Mtu ambaye freezer yake imejaa minofu hataki taarifa za msiba mkoani kwake anajua ataacha nyama kwenye freezer ziliwe na dada & kaka wa kazi.
Sijasema vita huleta maendeleo ila Kuna aina ya vita huzaa hari mpya, watu wapya na fikra mpya.
Tanzania hakuna Rasilimali zozote za maana zaidi ya watu kujaaliwa mdomo ,lawama ,fitina na ulalamishi
 
Hilo liko wazi.Huwezi sikia Lugha za kipumbavu huko Mozambique kama za hapa Tanzania

Msumbiji hawasemi Wazungu wamepewa Mali zao.

Msumbiji hawasemi Waarabu wamepewa Bandari

Msumbiji hawana masharti ya kipumbavu pumbavu ya hovyo hovyo kwenye Madini Yao mfano gesi,chuma nk

Wala Msumbiji hawajilalamishi ujinga kama hapa Tanzania

Na ilivyo na Mali lazima wataendelea
Chawa
 
Adui namba moja wa maendeleo ya Tanzania ni ambao wanapewa dhamana ya Urais-hawa ndio shida.
Subiri siki nikiwa Rais,nitakuwa zaidi ya Nyerere.
 
Watoto wa 2000 watakuwa na Miaka 54, Sisi wengine tutakuwa kama Mzee Mallechela na tutakuwepo wachache
 
Back
Top Bottom