MSUMBIJI: Kiwanda fake cha iPhones chagunduliwa

Mnazi overrate sana Iphone, wakati ni simu kama zilivyo simu/ brand nyingine.

Natype na Iphone yangu ya Makumbusho Lenie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€Έβ€β™‚οΈ
 
Mnazi overrate sana Iphone, wakati ni simu kama zilivyo simu/ brand nyingine.

Natype na Iphone yangu ya Makumbusho Lenie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€Έβ€β™‚οΈ
Mimi ndio sijawah hata kuziota hizo simu, tecno yangu inatoshaπŸ˜‚
 
Balaa lipo kwenye idadi ya mzigo wao ambao tayari upo sokoni mpaka sasa.

Unakuta wengi walionunua hizo 'simu' zao ndio wale wanaopiga kelele mitandaoni kwamba "iPhone ni simu za kawaida sana".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…