Msumbiji: Mafuta kuchotwa Baharini inawezekana vipi?

Msumbiji: Mafuta kuchotwa Baharini inawezekana vipi?

Maji na mafuta huwa havichanganyiki, ila bado wakichota inabidi wakayafanyie decantation kwa kuacha maji yote yatulie chini halafu wachote tena mafuta kwa juu.
Yaani babu umenikumbusha form2 hilo neno decantantion is the process of
Separating two liquids with different densities....cheminga hyo hatari sana
 
Wakubwa salaam
Kuna clip inasambaa kwa kasi kutoka Mozambique Mkoa wa cabo Delgado almaarufu kama Pemba wananchi wakichota kinachosemekana ni mafuta ukingoni mwa bahari

Mi swali langu ni hii kitu inawezekana kweli? Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn!

Naambatanisha clip yenywe wanaongea Kireno
View attachment 1876650

Mkuu mafuta na maji haviwezi kuchanganyikana[emoji38]...
Jaribu hata hapo ulipo,chukua mafuta uchanganye na maji uone.
 
Wakubwa salaam
Kuna clip inasambaa kwa kasi kutoka Mozambique Mkoa wa cabo Delgado almaarufu kama Pemba wananchi wakichota kinachosemekana ni mafuta ukingoni mwa bahari

Mi swali langu ni hii kitu inawezekana kweli? Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn!

Naambatanisha clip yenywe wanaongea Kireno
View attachment 1876650

IMG_4140.jpg

IMG_4141.jpg

IMG_4142.jpg

IMG_4143.jpg
 
Kwani vyote vyenye density ndogo vipo hapo? Why mafuta tu? Nadhani hamjamuelewa mtoa mada.. Anataka kujua yamefikaje hapo?
Umesoma uzi wa mleta mada kweli?!

Nanukuu kutoka kwa mleta mada: ".........Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn!"

Hapa mleta mada anazungumzia ishu ya mafuta kutokuchanganyika na maji na wala siyo mafuta yamefikaje hapo.
 
Umesoma uzi wa mleta mada kweli?!

Nanukuu kutoka kwa mleta mada: ".........Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn!"

Hapa mleta mada anazungumzia ishu ya mafuta kutokuchanganyika na maji na wala siyo mafuta yamefikaje hapo.
Nyambizi(subamarine) ya JWTZ ilikuwa imeenda kupeleleza hao wanamgambo tank la mafuta likapasuka! Ilibidi tugeuze chap chap mpka hapo kigamboni ndo tukalipaki! Nadhani ndo hayo mafuta hata sisi tulikuwa tumeyanyonya hapo Total kariakoo
 
Back
Top Bottom