Yaani babu umenikumbusha form2 hilo neno decantantion is the process ofMaji na mafuta huwa havichanganyiki, ila bado wakichota inabidi wakayafanyie decantation kwa kuacha maji yote yatulie chini halafu wachote tena mafuta kwa juu.
Huyu jamaa alisoma hkl toka viduduHii mbona ni physics ya shule ya msingi? Hukusoma kuwa mafuta huelea juu ya maji?Ulisoma mambo ya density?
Hiyo sio typing error ni logical errorThanks ni typing error ,niliandika ambacho sikutaka kumaanisha
[emoji38]Huyu jamaa alisoma hkl toka vidudu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu jamaa alisoma hkl toka vidudu
Wakubwa salaam
Kuna clip inasambaa kwa kasi kutoka Mozambique Mkoa wa cabo Delgado almaarufu kama Pemba wananchi wakichota kinachosemekana ni mafuta ukingoni mwa bahari
Mi swali langu ni hii kitu inawezekana kweli? Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn!
Naambatanisha clip yenywe wanaongea Kireno
View attachment 1876650
Wakubwa salaam
Kuna clip inasambaa kwa kasi kutoka Mozambique Mkoa wa cabo Delgado almaarufu kama Pemba wananchi wakichota kinachosemekana ni mafuta ukingoni mwa bahari
Mi swali langu ni hii kitu inawezekana kweli? Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn!
Naambatanisha clip yenywe wanaongea Kireno
View attachment 1876650
Umenikumbusha katopic kwenye Engineering ScienceDensity ni mass divide by volume.
Kwani vyote vyenye density ndogo vipo hapo? Why mafuta tu? Nadhani hamjamuelewa mtoa mada.. Anataka kujua yamefikaje hapo?Hii mbona ni physics ya shule ya msingi? Hukusoma kuwa mafuta huelea juu ya maji?Ulisoma mambo ya density?
Umesoma uzi wa mleta mada kweli?!Kwani vyote vyenye density ndogo vipo hapo? Why mafuta tu? Nadhani hamjamuelewa mtoa mada.. Anataka kujua yamefikaje hapo?
Nyambizi(subamarine) ya JWTZ ilikuwa imeenda kupeleleza hao wanamgambo tank la mafuta likapasuka! Ilibidi tugeuze chap chap mpka hapo kigamboni ndo tukalipaki! Nadhani ndo hayo mafuta hata sisi tulikuwa tumeyanyonya hapo Total kariakooUmesoma uzi wa mleta mada kweli?!
Nanukuu kutoka kwa mleta mada: ".........Yaani mafuta yachotwe bila kuchanganyika na maji naomba wajuzi watujuze jmn!"
Hapa mleta mada anazungumzia ishu ya mafuta kutokuchanganyika na maji na wala siyo mafuta yamefikaje hapo.