Msumbiji: Mtanzania miongoni mwa watu 16 wanaotuhumiwa kuunga mkono ugaidi

Serikali ya Msumbiji inabidi imuue tu huyu gaidi kwani lengo lake yeye ilikuwa ni kuua na kujilipua ili akienda motoni akapewe majini 72 aliodanganywa kupewa.
Inawezekana amekutwa kwenye nyumba ya watuhumiwa kama mke wa jamaa!
 
Huyo mwanamke Mtanzania wamalizane naye huko huko, sisi watuletee taarifa tu ili tuweke matanga.

Ugaidi ni haramu
 
KOMEO LA CHUMA UTAKUWA NA MATATIZO YA UELEWA NDIO MAANA UNATAKA KUHARIBU NA KUINGIZA KAMA DINI INAHUSIKA KWA 100%.

USICHOKIJUA NI KUWA WENZETU WEUPE HUWA WANA MBINU SANA WANAWEZA PLAN KITU HATA MIAKA 20 MBELE

NA NDICHO WALICHOFANYA PALE KUANDAA VIJANA KUFANYA AMBUSH KWA SURA YA UISLAMU KAMA KUDAI HAKI AMBAYO HAIPO

MBONA WAISLAMU WENYEWE WANAOFAHAMIKA HAWAPO MSTARI WA MBELE KWENYE HICHO MNACHOKIITA UGAIDI????

MBONA HAKUNA MAFUNDISHO YA WAZI ZAIDI YA KUJIFICHA PORINI HUKO

WANAJESHI WALISHAWAI INGIA HAPO ZIWANI NA KUKUSANYA VIJANA NA KUWAPIGA NA WENGINE KUPATA ULEMAVU LAKIN HAKUKUWA NA WALIOHUSIKA ZAIDI YA VIJANA KUANZIA MAULUNGA HUKO.
 
Hii ya watu kushindwa na kusingizia watu weupe imepitwa na wakati. Magaidi wana imani na imani yao inawasaidia kufanya wanachokifanya na huwa hawajifichi wanaweka wazi tu imani yao . kwa nini mki ona jambo halipo sawa mnawasingizia marekani? miaka yote. ISIS , AL Shababy, Boko Haram, IS, Osama Bin Laden..... angalia hawa watu ni imani gani? mkiwa huku JF mkiona wanashambuliwa mnasema ni wamarekani mkiwa nao mnawatia moyo na kuwatukuza. hawa wanaambiwa na maandika wakiua Kafir wanaenda akhera kupata zawadi ya wanawake 72 bikra na wanapewa nguvu za kusex na wanawake 100. si ni maandiko na wanapokufa humtukuza Mungu wao baada ya kulipua au kuwamiminia risasi wengine.
 
NDIO MAANA NIKASEMA HUNA AKILI ZA KUFIKIRIA UNAONGOZWA NA HISIA ZA KUPIGA PUNYETO !! HAYO MAENEO YENYE HIZO VURUGU 101% NI WAISLAMU HAYA KWANN WANAUANA WENYEWE KWA WENYEWE BILA SABABU ZA MSINGI? TANGIA LINI UKAONA WATANZANIA WANA VITA KUPELEKEA KUUANA??? HAYA ALSHABAB WANATAFUTA NINI MTWARA AU KIBITI? KAMA ISHU NI DINI WANATAKA KUENEZA DINI KWA KIWANGO GANI?? NA WANAPATA WAPI FEDHA ZA KUKAA MISITUNI NA MATUMIZI MAKUBWA YA KILA SIKU KUSHINDANA NA SERIKALI???

HIZI MAMBO UNATAKIWA KUTUMIA AKILI SANA LA SIVYO UTAWADHURU WATU KWA DHANA YA KUKARIRI KUWA KILA ANAEVAA KANZU NA KILEMBA PAMOJA NA NDEVU NI GAIDI
AU KILA ANAESEMA ALLAHU AKBARU ANATAKA KUFANYA UGAIDI!
 
I repeat, mtu yeyote anayejitoa ufahamu na kutaka kuwa gaidi kuua watu wasio na hatia ili kutetea dini za watu zisizokuwa na tija kwake, anyongwe tu kwani analihaibisha taifa.
Mgogoro wa kule Cabo Delgado nchini Msumbiji hauhusiani kabisa na suala la dini ya Kiislamu kama mnavyolishwa Propaganda potofu. Suala lile purely ni mgogoro wa kisiasa.
 
Mgogoro wa kule Cabo Delgado nchini Msumbiji hauhusiani kabisa na suala la dini ya Kiislamu kama mnavyolishwa Propaganda potofu. Suala lile purely ni mgogoro wa kisiasa.
Na Wasomalii (Waislam) wanaoishi maporini kule wakishirikiana na Watanzania wajinga waliodanganywa kupewa mabikra 72 motoni, ni wana siasa? Kumbuka wale magaidi hawana akili yeyote zaidi ya kutaka taifa la kigaidi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…