Msumbiji Wamekodisha Bandari ya Nacala Kwa Malawi & Zambia Kwa Miaka 100. Tanzania Kupoteza Mteja namba 2 wa Dar Port

Msumbiji Wamekodisha Bandari ya Nacala Kwa Malawi & Zambia Kwa Miaka 100. Tanzania Kupoteza Mteja namba 2 wa Dar Port

tunapoteza muda kujadili mambo ya kijinga, sijui wamasai maridhiano walawiti goli la yanga, tunaacha kujadili mstakabali mzima wa taifa, tunawaachia akina kafulila kuliga porojo, tangu prof wa mzumbe afe hamna tena anaejadili uchumi

Lissu anawaza hongo walomvunja mguu, maridhiano wasiojulikana hana point hatamoja ya kiuchumi

..Lissu ana pointi nyingi za kiuchumi tatizo waandishi wa habari wamekazia kumuuliza mambo ya udaku.

..Unakumbuka darasa alilosomesha kuhusu Mgogoro wa Israel na Palestina na kila mtu ukashangaa?

..Sasa wa'challenge waandishi wamuulize kuhusu sera za uchumi ndio utajua jamaa anaifahamu dunia.
 
Kilichokua kinatakiwa ni kujenga miundombinu ya bara bara na kupunguza kodi ya truck tractors ili watu wawe na trucks za kutosha kwa kupeleka mizigo huko sasa wenzetu TRA wanadhani wanawakomoa Watanzania kwa kuweka kodi kubwa huku wenye mizigo wakiona gharama kubwa ya usafiri na kuchelewa wanaona watumie watu wao au kuhama Bandari...
 
Sasa nchi inategemea majeshi ya nchi nyingine ya kukodi kulinda nchi yao unaenda kuwekeza bandari huko akili hiyo? Au sisi tujenge reli kwendq kongo nchi ambayo jeshi lake halina nguvu wamejaa waasi kila kona majeshi ya k9geni tu ndio yamejaa yanalipua mabarabara na madaraja kila siku

Malawi na Zambia watakuwa akili hawana kwenye huo uwekezaji
Soma mada yangu uelewe,nimekwambia lazima tuji engage na DRC kutafuta amani Kwa maslahi ya Tanzania hasa ya kiuchumi.

Ndivyo Mabeberu wanafanya
 
Kiukweli wakitekeleza hili wazo lao ni maumivu kwa nchi yetu Cha msingi TAZARA irudi iwe chini ya wachina maana ili waifufue na nchi yetu iwekeze zaidi kwenye viwanda kwa kutenga angalau hata mji mmoja nyanda za juu kUsini uwe wa viwanda hii itasaidia hizi nchi kuendelea kuja kuchukua bidhaa
 
NA KAZI IMEANZA HII ITASAIDIA SANA KUUA HATA HILI WAZO LA ZAMBIA NA MALAWI 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇China, Tanzania and Zambia to sign an Investment Framework for TAZARA

On September 4, 2024, TAZARA will take center stage in Beijing, China, as Mr. Hakainde Hichilema, President of Zambia, Mr. Xi Jinping, President of China, and Dr. Samia Suluhu Hassan, President of Tanzania, come together to witness the signing of the Investment Framework for the revitalization of TAZARA, the Government of Zambia has announced.
--------------------------------------------------------
China, Tanzania na Zambia kutia saini Mfumo wa Uwekezaji wa TAZARA

Siku ya 4 Septemba, 2024, TAZARA itapanda jukwaani mjini Beijing, China, huku Mheshimiwa Hakainde Hichilema, Rais wa Zambia, Mheshimiwa Xi Jinping, Rais wa China na Mheshimiwa Dk Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, wakikutana kushuhudia kusainiwa kwa Mfumo wa Uwekezaji wa kufufua TAZARA, Serikali ya Zambia imetangaza.
----------------------------------------Translated by Google.
PRESS STATEMENT
For Immediate Release
PRESIDENT HAKAINDE HICHILEMA TO UNDERTAKE WORKING VISIT TO THE PEOPLE’S REPUBLIC OF CHINA TO ATTEND THE NINTH FORUM ON CHINA-AFRICA COOPERATION SUMMIT
The Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation wishes to inform the nation that Mr. Hakainde Hichilema, President of the Republic of Zambia, will undertake a Visit to the People's Republic of China from 30th August to 7th September, 2024 to attend the Ninth Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) Summit.
The Summit, held every three years alternately in Africa and China, will be convened from 4th to 6th September, 2024 in Beijing under the theme "Joining Forces to Promote Modernisation and Build a High-level China-Africa Community of a Shared Future." President Hichilema will join other leaders at the Summit in advancing common growth and mutually beneficial development for the African continent and China.
On 4th September, 2024, President Hichilema will hold a bilateral meeting with His Excellency Mr. Xi Jinping, President of the People’s Republic of China, furthering the longstanding and excellent bilateral relations between Zambia and China, as the two countries this year commemorate 60 years of diplomatic relations. During the meeting, President Hichilema, together with President Xi and President Samia Suhulu Hassan of the United Republic of Tanzania will witness the signing of the Investment Framework on the revitalisation of TAZARA. The President is later on the same day scheduled to grace the Zambia Power Development Forum at the Power China Headquarters.
President Hichilema will further hold strategic meetings, on the margins of the Summit, with Government officials and investors, which will ultimately yield tangible benefits for Zambia. The programme includes a bilateral meeting with representatives of the China Railway Construction Corporation and China-Non-Ferrous Metals Corporation on 3rd September, 2024 in Beijing.
Zambia and China share longstanding strategic relations based on common values and mutual respect. The two countries cooperate based on the Comprehensive Strategic and Cooperative Partnership, which was elevated by President Hichilema and President Xi during the State Visit to China in September 2023. This year's visit by the President is highly significant as it will build on the agreed decisions and allow for the consolidation of Zambia’s ties with China, including unlocking opportunities for investment and joint partnerships in key sectors such as energy, agriculture, infrastructure and mining. President Hichilema’s international engagements reinforce the Administration’s ongoing efforts of accelerating socio-economic development and creating equitable opportunities for the Zambian people.
President Hichilema is expected to return to Zambia immediately after his engagements.
(Original Signed)
Hon. Mulambo Haimbe, SC, M.P
MINISTER OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION
29th August, 2024
#FOCAC2024
#ZambiaChinaRelations
#DevelopmentCooperation
#ForeignAffairsZambia
 
Nchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa.

Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha Bandari Yao ya Nacala Kwa Nchi ya Malawi na Zambia ambapo wataitumia Kwa kipindi Cha miaka 100 ijayo.

Nchi hizo 3 zinapanga kujenga miundombinu ya reli kutoka Nakala Hadi Mji Mkuu wa Malawi Lilongwe na kisha Hadi Mji Mkuu wa Zambia Lusaka.

Njia hiyo Mpya ya reli itapunguza umbali wa Zambia kuifikia Bandari ya Dar hivyo zaidi ya asilimia 90% ya mzigo wa Zambia utapitia Bandari za Msumbiji za Nakala na Beira.

Kwa hatua hiyo itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Tanzania ambayo Bandari ya Dar ilikuwa inategemea zaidi mzigo wa Nchi ya Congo DRC na Zambia kama wateja Wakuu huko Nchi zingine zikiongesea ongezea shehena.

Endapo Zambia itaondoka rasmi kuwa mteja wa Tanzania sio tuu itapunguza mzigo wa Bandari ya Dar Bali itaua kabisa biashara ya Malori ya mizigo Tanzania ambapo Kwa sehemu kubwa yatahamia Nchi hizo za Zambia,Malawi na Msumbiji na zingine za Afrika Ili kuendelea na Biashara ya Usafirishaji.
View attachment 3080432

Pia soma: Bandari za Dar na Mtwara Kuwa Mashakani Kutokana na Nchi za Zambia,Malawi na Mozambique Kuzindua Upanuzi Mkubwa wa Miundombinu ya Nacala Port.

Kwa maelezo zaidi soma hapa Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi

Ushauri,;

Serikali ihakikishe mipango yetu yote Kwa Sasa iwe inalenga kuikumbatia DRC kuanzia Kusini Hadi Kaskazini maana ndio mteja pekee ambae walau jiografia inatupa nafasi.

Serikali ifanye yafuatayo
1.Lazima tujihusishe na kutafuta amani directly ndani ya DRC Ikibidi Kwa gharama zetu.

2.Lazima Sgr na Barabara zivuke na kuifikia DRC(Bukavu,Goma,Kinshasa,Kindu)

3.Lazima tuwashawishi Zambia na DRC tujenge reli kutoka Tunduma-Kasama-Lubumbashi-Likasi na Kutoka Makambako-Mtwara Port.

4.Lazima Sgr itoke Mpanda-Karema na Kigoma

5.Lazima tutafute pesa za kujenga meli kubwa za mizigo na abiaria ndani ya Ziwa Viktoria na pia tujenge Bandari,Barabara na reli upande wa DRC hata Kwa kuwakomesha pesa

6.Lazima tuwape DRC,Rwanda na Burundi Ardhi za Bure za kumhudumia mizigo Yao Pwani.

My Take
Tusipofanya hayo tunaenda kupoteza hata hiyo DRC Kwa Kenya,Angola na Mozambique na ikizingatiwa DRC inajenga Bandari na reli kuunganisha na Zambia na Angola.

Washindani Wetu wa Kenya wao Wana uhakika na Uganda,South Sudan, Northern DRC na somehow Ethiopia na Rwanda.

Tuachane na Mpango wa kujenga reli ya Mtwara Corridor hiyo Haina maana tena imeshakufa,Nguvu zote zielekezwe Kujenga kioande Cha kutoka Makambako -Mtwara.
View attachment 3080431
Moja taarifa njema kbs hii kwa ujasusi wa kiuchumi. Yericko Nyerere ambayo amekuwa akipigia chapuo. Reli ya Tazara ipo sijui kama tunataka reli nyingine.

Tuwatumie pirates hapo hapo kati waogope kabisa 😀😀😀 kupitisha meli zao.
 
Nchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa.

Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha Bandari Yao ya Nacala Kwa Nchi ya Malawi na Zambia ambapo wataitumia Kwa kipindi Cha miaka 100 ijayo.

Nchi hizo 3 zinapanga kujenga miundombinu ya reli kutoka Nakala Hadi Mji Mkuu wa Malawi Lilongwe na kisha Hadi Mji Mkuu wa Zambia Lusaka.

Njia hiyo Mpya ya reli itapunguza umbali wa Zambia kuifikia Bandari ya Dar hivyo zaidi ya asilimia 90% ya mzigo wa Zambia utapitia Bandari za Msumbiji za Nakala na Beira.

Kwa hatua hiyo itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Tanzania ambayo Bandari ya Dar ilikuwa inategemea zaidi mzigo wa Nchi ya Congo DRC na Zambia kama wateja Wakuu huko Nchi zingine zikiongesea ongezea shehena.

Endapo Zambia itaondoka rasmi kuwa mteja wa Tanzania sio tuu itapunguza mzigo wa Bandari ya Dar Bali itaua kabisa biashara ya Malori ya mizigo Tanzania ambapo Kwa sehemu kubwa yatahamia Nchi hizo za Zambia,Malawi na Msumbiji na zingine za Afrika Ili kuendelea na Biashara ya Usafirishaji.
View attachment 3080432

Pia soma: Bandari za Dar na Mtwara Kuwa Mashakani Kutokana na Nchi za Zambia,Malawi na Mozambique Kuzindua Upanuzi Mkubwa wa Miundombinu ya Nacala Port.

Kwa maelezo zaidi soma hapa Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi

Ushauri,;

Serikali ihakikishe mipango yetu yote Kwa Sasa iwe inalenga kuikumbatia DRC kuanzia Kusini Hadi Kaskazini maana ndio mteja pekee ambae walau jiografia inatupa nafasi.

Serikali ifanye yafuatayo
1.Lazima tujihusishe na kutafuta amani directly ndani ya DRC Ikibidi Kwa gharama zetu.

2.Lazima Sgr na Barabara zivuke na kuifikia DRC(Bukavu,Goma,Kinshasa,Kindu)

3.Lazima tuwashawishi Zambia na DRC tujenge reli kutoka Tunduma-Kasama-Lubumbashi-Likasi na Kutoka Makambako-Mtwara Port.

4.Lazima Sgr itoke Mpanda-Karema na Kigoma

5.Lazima tutafute pesa za kujenga meli kubwa za mizigo na abiaria ndani ya Ziwa Viktoria na pia tujenge Bandari,Barabara na reli upande wa DRC hata Kwa kuwakomesha pesa

6.Lazima tuwape DRC,Rwanda na Burundi Ardhi za Bure za kumhudumia mizigo Yao Pwani.

My Take
Tusipofanya hayo tunaenda kupoteza hata hiyo DRC Kwa Kenya,Angola na Mozambique na ikizingatiwa DRC inajenga Bandari na reli kuunganisha na Zambia na Angola.

Washindani Wetu wa Kenya wao Wana uhakika na Uganda,South Sudan, Northern DRC na somehow Ethiopia na Rwanda.

Tuachane na Mpango wa kujenga reli ya Mtwara Corridor hiyo Haina maana tena imeshakufa,Nguvu zote zielekezwe Kujenga kioande Cha kutoka Makambako -Mtwara.
View attachment 3080431
DP si wapo vizuri?
Maana tulisikia hata rate ya kupakua mizigo ni ya speed ya hali ya juu,meli hazikai sana.

Au ulikuwa uongo? MAANA WW kila kitu unasifia.
 
Hii ni Bad News kwa watu wengi kuanzia mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA), DUBAI PORT WORLD(DP World), TANZANIA REVENUE AUTHORITY(TRA) pamoja na wadau wote wakubwa wa bandari ikiwemo Clearing and Forwarding Agent.

Yale magari mnayaona pale bandarini yamejaa asilimia kubwa ni Transit(Zambia, Malawi, Congo, Burundi, Rwanda) the same kwenye Makontena.

It's really a bad news ambayo Kila anayehusika anapaswa ashike kichwa na kutafakari tutaokoa vipi mapato yaliyokuwa yanaingia In terms of billions.?
 
Nchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa.

Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha Bandari Yao ya Nacala Kwa Nchi ya Malawi na Zambia ambapo wataitumia Kwa kipindi Cha miaka 100 ijayo.

Nchi hizo 3 zinapanga kujenga miundombinu ya reli kutoka Nakala Hadi Mji Mkuu wa Malawi Lilongwe na kisha Hadi Mji Mkuu wa Zambia Lusaka.

Njia hiyo Mpya ya reli itapunguza umbali wa Zambia kuifikia Bandari ya Dar hivyo zaidi ya asilimia 90% ya mzigo wa Zambia utapitia Bandari za Msumbiji za Nakala na Beira.

Kwa hatua hiyo itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Tanzania ambayo Bandari ya Dar ilikuwa inategemea zaidi mzigo wa Nchi ya Congo DRC na Zambia kama wateja Wakuu huko Nchi zingine zikiongesea ongezea shehena.

Endapo Zambia itaondoka rasmi kuwa mteja wa Tanzania sio tuu itapunguza mzigo wa Bandari ya Dar Bali itaua kabisa biashara ya Malori ya mizigo Tanzania ambapo Kwa sehemu kubwa yatahamia Nchi hizo za Zambia,Malawi na Msumbiji na zingine za Afrika Ili kuendelea na Biashara ya Usafirishaji.
View attachment 3080432

Pia soma: Bandari za Dar na Mtwara Kuwa Mashakani Kutokana na Nchi za Zambia,Malawi na Mozambique Kuzindua Upanuzi Mkubwa wa Miundombinu ya Nacala Port.

Kwa maelezo zaidi soma hapa Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi

Ushauri,;

Serikali ihakikishe mipango yetu yote Kwa Sasa iwe inalenga kuikumbatia DRC kuanzia Kusini Hadi Kaskazini maana ndio mteja pekee ambae walau jiografia inatupa nafasi.

Serikali ifanye yafuatayo
1.Lazima tujihusishe na kutafuta amani directly ndani ya DRC Ikibidi Kwa gharama zetu.

2.Lazima Sgr na Barabara zivuke na kuifikia DRC(Bukavu,Goma,Kinshasa,Kindu)

3.Lazima tuwashawishi Zambia na DRC tujenge reli kutoka Tunduma-Kasama-Lubumbashi-Likasi na Kutoka Makambako-Mtwara Port.

4.Lazima Sgr itoke Mpanda-Karema na Kigoma

5.Lazima tutafute pesa za kujenga meli kubwa za mizigo na abiaria ndani ya Ziwa Viktoria na pia tujenge Bandari,Barabara na reli upande wa DRC hata Kwa kuwakomesha pesa

6.Lazima tuwape DRC,Rwanda na Burundi Ardhi za Bure za kumhudumia mizigo Yao Pwani.

My Take
Tusipofanya hayo tunaenda kupoteza hata hiyo DRC Kwa Kenya,Angola na Mozambique na ikizingatiwa DRC inajenga Bandari na reli kuunganisha na Zambia na Angola.

Washindani Wetu wa Kenya wao Wana uhakika na Uganda,South Sudan, Northern DRC na somehow Ethiopia na Rwanda.

Tuachane na Mpango wa kujenga reli ya Mtwara Corridor hiyo Haina maana tena imeshakufa,Nguvu zote zielekezwe Kujenga kioande Cha kutoka Makambako -Mtwara.
View attachment 3080431
Bora hilo litekelezwe haraka.
Hapa nchini hata mabilioni yenyewe yanayopatikana wanagawiwa machawa halafu chenji ndo zinapelekwa TARURA zijenge barabara za vumbi huku vyoo vya shule tunasubiri misaada ya COVID-19
Ila kwa kweli wa-Tanzania tumezidi ubabaishaji, longolongo, rushwa, ufisadi na Mambo mengine mengi sana yaliyo ya hovyo. Zambia wamefanya vyema kwa kuandaa Mpango mzuri wa kuwaepuka Watu wa hovyo ili Watu hao wa hovyo waweze kujifunza ustaarabu.

Hili litakuwa fundisho zuri sana kwa wahusika
 
Tutakuja kushituka hizo Bandari zimesalia kuhudumia Mikoa yetu pekee,washindani Wetu wamechukua keki.

Lazima tuingie kufanya mambo ya umafia Kwa maslahi ya Nchi
Wewe unamawazo mazuri sana,ila ccm wanamawazo ya kuiba na kufisadi mali za umma,hii nchi ili ipone ni kuondoa ccm madarakani tofauti na hapo hakuna la maana litakalofanyika.
 
Tatizo la Viongozi wetu mda mwingi wamewekeza kwenye siasa kila kitu,kuwaruhusu watu wenye akili ndogo ndiyo wabebe maono ya inchi hii yaani chawa, huku wakiwaacha wenye akili kubwa ilimradi tu wanapingana nao kisiasa
 
Malawi hawana hela wala uwezo wa kujengs reli hata kilomita 20

Pili kuna tishio la vita Mozambique la magaidi ni mwehu pekee aweza Ingia kichwa kichwa kuchukua bandari Mozambique
Vita inadhibitiwa,pesa zinakopwa kuna rafiki china atawajengea.

Acheni kujifariji dp world wameharibu uchumi wa nchi,mataifa yanaikimbia bandar ya DSM
 
Tuna hitaji kuanza na viwanda vidogo vya uzalishaji kwa bidhaa za ukanda wetu hasa malighafi Afrika tuna import sababu hatuna uwezo wa kuzigeuza malighafi kuwa bidhaa za mwanzo za uchakataji Tanzania tutumie huu mwanya.

Kwa namna hiyo itaweza chochea sekta ya uchukuzi. Tuchape kazi na iwe kazi kweli kuliko mabishano ya mpira, matamasha ya mziki stareh3 zisizo na tija, Tanzania inatakiwa tuingie kwenye sera ya viwanda na teknolojia hata ya awali na kati tuu tukisema tuendelee kuagiza tena tutadidimia. Faida ya uzalishaji wa ndani ni kubwa kuliko kuagiza.
 
Hatari Sana hapo.
Ingawaje mpango huo wa Malawi na Zambia kuutekeleza itachukua Muda kûtokana na umaskini wa nchi zào.

Ungeshauri pia, serikali iweke vitengo vya Siri vya kuvuruga mipango ya nchi shindani au yenye Nia ya kuharibu mipango na utekelezaji WA miradi yetu. Kama wafanyavyo mabeberu.

Tusipovamia tutavamiwa.
Tusipowawavuruga watatuvuruga
Umasikini wakati kuna mikopo au hapa tz miradi mikubwa yote tumejenga kwa hela za kwenye mkoba wa samia?

Acha kujitoa akili
 
Zile sababu zilizozifanya nchi hizo ziwe tegemezi kwa Tanzania kwenye bandari kwa sasa zilishatoweka; hazipo tena.

Sababu#1: Kipindi hiko huko inakopita barabara kwa mujibu wa ramani aliyoweka mleta mada ChoiceVariable ukanda wore huo ndiko "waasi" wa RENAMO walikokuwa wametamalaki. Kusingepitika! Dar Port favored.

Sababu #2: Route mpya ya Lubumbashi - Lobito, Angola; mnakumbuka habari za "waasi" wa UNITA chini ya "gaidi" Dk. Jonas Savimbi? Basi hiyo route ndio ilikuwa HQ ya Savimbi na genge lake; kisingepita kitu - Dar Port favored!

Sababu #3: Route ya South Africa. Mnakumbuka enzi za ubaguzi wa rangi huko SA? Mnakumbuka harakati za Uhuru kule Namibia chini ya SWAPO? Mnajua nchi zote za Kusini mwa Afrika except "kibaraka mmoja" zilikuwa against uta wala wa makaburu kule SA na Namibia? Nchi hizo hakukupitika kabisa! Dar Port favored!

Ni sababu hizo zilizoi-favor bandari ya Dar es Salaam automatically! Kama hatukutumia fursa vizuri kipindi kile, badala yake wakawekwa mchwa ambao kazi yao ilikuwa kutafuna bila kuangalia kesho hizo fursa kwa sasa hazipo tena. Inabidi kutumia akili na sio "kuletewa mezani".
 
Back
Top Bottom