Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na za Simba na Yanga pia zipoPesa za wese zipo
Hizo hata 100 hazijafika, Taifa star ikifuzu ni ½billionNa za Simba na Yanga pia zipo View attachment 2559514
Hizo hata 100 hazijafika, Taifa star ikifuzu ni ½billion
Hawajui michezo ingiza kiasi gani maana haya makombe mkifanikiwa kupata nafasi ya kuandaa mnapata pesa ndefu ndio kilichofanya Nchi za kaskazini kufanikiwa kwa kuwa na viwanja bora na kila mara wanaandaa wao na kupata hizo pesa...Hizo hata 100 hazijafika, Taifa star ikifuzu ni ½billion
Dogo Putin anazingua sana Ulimwengu. Namfananisha na Faisal kwenye soka la bongoLakini putin yeye ndo anakanyaga gia, bado tunasafari ndefu sanaaa. Hivi huu utaratibu wa kutembea na msafara mkubwa nani aliuanzisha [emoji848][emoji848][emoji848]
Wa Ulinzi na UsalamaMsafara wote wa nini au ni sifa tu ?
Sasa Ndugu yetu naona umefika mbali.....Trump akisema shithole countries inabidi tutawaliwe tunakuwa wakali kama mbogo!
Ni kama yanapelekwa yadi ya toyota tayari kuuzwaHuu ni msafara wa raisi wa nchi ya Equatorial Guinea moja ya nchi masikini Afrika, ambayo ni sawa na mali binafsi ya dictator Nguema wakila matunda ya UHURU huku wananchi wake wakitopea kwenye umasikini.
View attachment 2559444View attachment 2559445View attachment 2559446View attachment 2559447View attachment 2559448
View attachment 2559449
Hamna mkuu, me naona Putin anataka kuleta usawa, yaani kusiwepo na kiranja wa dunia.Maana inavyosadikika USA ananyonya baadhi ya nchi hasahasa nchi za kiarabu na AfricaDogo Putin anazingua sana Ulimwengu. Namfananisha na Faisal kwenye soka la bongo