Msusi ananuka...

mkuhu siho vizuri hungemuhambiha sasa hunakuja kumsema humu hungemuhambiha siho vizuri kabisa mkuhu.

are you in love with the letter H?

Mkuhu?

Sijawahi kusikia, ila nimependa point yako.
 
Hahaha wanawake bana arufu za maeneo eneo yenu flan kumbe mnayajua!!
 

Ananuka nini?...na kwanini haukumwambia mwenyewe pale pale na badala yake unakuja kumsema hapa jamvini?
Sasa hapo mwenzio atajirekebisha vipi wakati wewe hujamwambia ili ajue tatizo lake?
 
Wasusi wa kitaa noma sana ,ila saluni wanakuwaga wasafi... alafu hawa wanaonuka ni wataalam sana wa staili nzuri ,kazi kwako sasa ukitaka kupendeza unuse shombo mpaka basi.....

Daah! nimecheka sana...kweli JF ni noma
 

Je, mmeamini kuwa wanaume tunawavumilia kwa mengi?? We kusukwa tu tena umeegemea juu ya nguo umekuja kushtaki JF, pata picha yule anayefunua hiyo chupi na kumpanua anasikia nini??
 

Ahsante...nimeipenda hii
 
Wasusi wa kitaa noma sana ,ila saluni wanakuwaga wasafi... alafu hawa wanaonuka ni wataalam sana wa staili nzuri ,kazi kwako sasa ukitaka kupendeza unuse shombo mpaka basi.....

he he he he true point sema hiyo smell kama umekunywa moja baridi,moja moti unaweza rudisha chenji
 
mimi sisuki ila nina uzoefu na mabeki 3, kapika chakula kitamu sawa, nyumba ni safi sawa, watoto wako vizuri sawa, lakini kajisahau mwenyewe!!! huwa nawatimuaga wakaoge na kujiswafi
 

nimekuelewa Karucee ila ni tabia ya baadhi ya wasusi wengi.ndo mana mwingine hi stail anaweka miguu pemben
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…