sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,213
Haikuoshwa vizuri hiyo papuchi yake rudi umwambie aioshe na detto
Uzi kama huu uliletwa majuzi...pole sana uwe unaenda na gas mask.
Dah nmemuonea huyo sisteri huruma kweli.. ungemwambia ingemsaidia..unaweza kukuta ana vaginitis na sio kushidwa kuoga..au kusafisha
hahahhaha pls em tuache tulaleee,unatukata usingizi na vichekoo lols
Hahahaaaaa Kibo10,au amekutana na yule mtu ambaye hajaoga wiki ya pili sasa akimsubiri mbunge wake Mnyika amletee maji???
🤣🤣🤣Umewahi kukutana na msusi anae nuka chupi hasa katika zile staili zetu za kilimanjaro.
Hii imenitokea live mida nikiwa kwa msusi nyumbani kwake tena mchana alikua ananisuka stail fulani jamani nilitamani nimwambie dada kabadilishe ila ilinibidi pia niwemvumilivu.
Maana nautaka urembo.
aisee kumbe mambo yanakuwa hivyo jamani....sasa unachungulia mbususu ya mwenzioHehhee polehh...tena mida hyo anasuka kisogoni lazima uso including pua ielekee maeneo nyetii
Umenikumbusha shule kabisa ya Trichomonas, hahaDah nmemuonea huyo sisteri huruma kweli.. ungemwambia ingemsaidia..unaweza kukuta ana vaginitis na sio kushidwa kuoga..au kusafisha