Msusi ananuka...

Msusi ananuka...

Kwa hyo hapo saivi kichwani unatembeaje kilimanjaro si haikumaliziwa?
 
Uzi kama huu uliletwa majuzi...pole sana uwe unaenda na gas mask.
 
Dah nmemuonea huyo sisteri huruma kweli.. ungemwambia ingemsaidia..unaweza kukuta ana vaginitis na sio kushidwa kuoga..au kujisafisha..
 
Dah nmemuonea huyo sisteri huruma kweli.. ungemwambia ingemsaidia..unaweza kukuta ana vaginitis na sio kushidwa kuoga..au kusafisha
 
Dah nmemuonea huyo sisteri huruma kweli.. ungemwambia ingemsaidia..unaweza kukuta ana vaginitis na sio kushidwa kuoga..au kusafisha

Kumwambia mtu issue km hyo ngumu sana mkuu...hata uwe kauzu vp
 
Umewahi kukutana na msusi anae nuka chupi hasa katika zile staili zetu za kilimanjaro.

Hii imenitokea live mida nikiwa kwa msusi nyumbani kwake tena mchana alikua ananisuka stail fulani jamani nilitamani nimwambie dada kabadilishe ila ilinibidi pia niwemvumilivu.

Maana nautaka urembo.
🤣🤣🤣
 
Dah nmemuonea huyo sisteri huruma kweli.. ungemwambia ingemsaidia..unaweza kukuta ana vaginitis na sio kushidwa kuoga..au kusafisha
Umenikumbusha shule kabisa ya Trichomonas, haha
 
Back
Top Bottom