Hahahaa! Wasikuelewe vibayaKwa hiyo hiyo cross moja ndio kaifanya timu yake ifuzu? Na ing'are?
..
Hebu ongeza kidogo mchango wa mtanzania mwenzetu katika hilo!
..
NB: Sina tatizo na Msuva
Sasa aongeze nn tena wakat alipiga krosi ambayo imezaa goliKwa hiyo hiyo cross moja ndio kaifanya timu yake ifuzu? Na ing'are?
..
Hebu ongeza kidogo mchango wa mtanzania mwenzetu katika hilo!
..
NB: Sina tatizo na Msuva
Kabisa mkuu. Kupiga cross ni wajibu wa mchezaji ambaye amepangwa kwenye nafasi husika na kuzaa goli ni suala lingine ambalo hutegemea ushapu wa mfungaji mwenye njaa ya goli!Hahahaa! Wasikuelewe vibaya
Umeona upunguze mateso hukoSafi sana poti wangu
Kwenye first leg alipiga mbili.Ulimwengu kapiga moja jana na lingine moja kwenye first leg
Huyu jamaa huwa sioni kiwango chake kabisaa!Ulimwengu kapiga moja jana na lingine moja kwenye first leg
Lakini hajawahi kucheza timu ambayo haichezi caf champions league group stage.Huyu jamaa huwa sioni kiwango chake kabisaa!
HapanaKwenye first leg alipiga mbili.
ulitaka uambiwa kapiga kona ikatoka au? umeambiwa tu kwa ufupi moja ya tukio lake kwa dk 86Kwa hiyo hiyo cross moja ndio kaifanya timu yake ifuzu? Na ing'are?
..
Hebu ongeza kidogo mchango wa mtanzania mwenzetu katika hilo!
..
NB: Sina tatizo na Msuva
Kuna kipindi alikosa timu akakaa miezi kadhaa bila timu!Lakini hajawahi kucheza timu ambayo haichezi caf champions league group stage.
Sasa sijui hao unawowaelewa wana mafanikio gani kisoka hapa nchini
Hadi mwaka unapita bila kucheza na wakati watu wakijua thom ndo basi tena,anaibukia timu kubwa.Kuna kipindi alikosa timu akakaa miezi kadhaa bila timu!
Ndio hapo nashindwa kuelewa!Hadi mwaka unapita bila kucheza na wakati watu wakijua thom ndo basi tena,anaibukia timu kubwa.
Leo hii ni first team player hapo mazembe
Kwa hiyo hiyo cross moja ndio kaifanya timu yake ifuzu? Na ing'are?
..
Hebu ongeza kidogo mchango wa mtanzania mwenzetu katika hilo!
..
NB: Sina tatizo na Msuva