Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Makocha wa wenzetu wanakiona kitu kwake ambacho watanganyika wengi hawakioniNdio hapo nashindwa kuelewa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makocha wa wenzetu wanakiona kitu kwake ambacho watanganyika wengi hawakioniNdio hapo nashindwa kuelewa!
Ila timu ya taifa kaitwa mara nyingi,sijawahi kuona cheche zake!Makocha wa wenzetu wanakiona kitu kwake ambacho watanganyika wengi hawakioni
Rudi milembe tafadhali wewe unaweza piga cross sasa hivi?Kabisa mkuu. Kupiga cross ni wajibu wa mchezaji ambaye amepangwa kwenye nafasi husika na kuzaa goli ni suala lingine ambalo hutegemea ushapu wa mfungaji mwenye njaa ya goli!
Basi ubadilishwe kichwa na Ulimwengu asomeke!Pia Thomas Ulimwengu ameing'arisha Tp Mazembe.
Au sio , story za kijiweni zimehamia JFJamaa amenogesha tu.. waydad kabla hata ya msuva huwa inafika hatua ya makundi kila msimu na huwa haitolewi hatua ya makundi.. wydad nusu fainali ni stage anayofika kila msimu
Ni mchango mkubwa ktk ushindi wa Wydad, ni kama Miquissone ambavyo hakufunga goli lolote ktk mechi round za awali akiwa na Simba lakn shughuli yake ndani ya pitch ni USIPIMEEKwa hiyo hiyo cross moja ndio kaifanya timu yake ifuzu? Na ing'are?
..
Hebu ongeza kidogo mchango wa Mtanzania mwenzetu katika hilo!
..
NB: Sina tatizo na Msuva
Una bahati sana wewe sababu ya Mimi kuchelewa kuingia humu.... Mimi napiga magoli wewe achana na crossRudi milembe tafadhali wewe unaweza piga cross sasa hivi?