Msuva Awaita mezani Simba, Yanga na Azam

Na anaijuwa vizuri falsafa ya Yanga, na kwenye mechi za kimataifa ni mtu sahihi na pia ni mfungaji mzuri.

Huyu kama anarudi Nyumbani sehemu anayostahili ni Yanga akamsaidie Mayele kutumia.
Combination ya mayele na msuva timu yoyote Africa itaanguka
Hawa wote ni wapambanaji
 
Na anaijuwa vizuri falsafa ya Yanga, na kwenye mechi za kimataifa ni mtu sahihi na pia ni mfungaji mzuri.

Huyu kama anarudi Nyumbani sehemu anayostahili ni Yanga akamsaidie Mayele kutumia.
Mna hela ya kumrudisha?

Usifikiri akija pale Gongowazi mtegemee kumpa madau yenu ya kina Azizi Ki ambao ndio wanaosemekana wanapokea mshahara mkubwa wakati market value yao ni 150€
 
Ila tuwe wakweli jamaa anabahatisha sana
Msuva ni mchezaji mzuri sana sema hana bahati na timu yake ya sasa hakuwa na msimu mzuri

Na timu yake ipo mbioni kushuka daraja
 
Msuva ni mchezaji mzuri sana sema hana bahati na timu yake ya sasa hakuwa na msimu mzuri

Na timu yake ipo mbioni kushuka daraja
Ligi isha isha wamemaliza wa 11 hio mbioni inatoka wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…