Msidharau mchango wa samattaMbwana bado anahangaikia hatima yake, mara Genk, mara Aston, mara Fenabache mara Ubelgiji tena. Nadhani mchango wake kwenye timu ya taifa hautoshi kuendelea kushikilia unahodha wa timu hii.
Mchango wa Msuva ni mkubwa sana, anacheza kwa nguvu zake zote akiwa na timu yake ya taifa. kwanini tusimpe unahodha?
ungejua kazi za nahodha usingeleta hiyo hoja, Roy Keane alikuwa nahodha Man u pamoja na kuwepo mastaa kibao.Msuva bado ana kesho nyingi na exposure. Kuwa nahodha inaweza kumsaidia kupandisha cv yake huko aliko
Kwenye Nini?
Naunga mkono hojaNGAPI NGAPI HUKO LEO?
Dah!! Yaani ulikosa mfano mwingine wowote ule, usipokua huu wa kumlinganisha mwanaume mwenzako na jinsia ya kike!!! 🙁Mleta mada ni dizain ya wanawake ambao wakihongwa kilo ya nyama na muuza butcher anaanza kumuona mmewe anayemtunza kila siku kuwa ni fala.
Bwana wako mbwana anaaibika na kukatisha tamaa vijana waliokuwa wanamuona role model wao, mashabiki wake hawajui wanunue jez ya timu gani tena. Walipata hasara kununua zile za Aston Villa, wakamsamehe wakaingia mifuko kununua za fenabac, hola, na sasa wanaona uvivu kumfuata huko kwenye timu ya daraja la chini ubiligwiji.Mleta mada ni dizain ya wanawake ambao wakihongwa kilo ya nyama na muuza butcher anaanza kumuona mmewe anayemtunza kila siku kuwa ni fala.
Naona umevimba na kupasukaungejua kazi za nahodha usingeleta hiyo hoja, Roy Keane alikuwa nahodha Man u pamoja na kuwepo mastaa kibao.
umekulaNaona umevimba na kupasuka