Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Wakuu huu ni ukweli na ukweli lazma usemwe, Winga machachari wa Yanga na Taifa Stars anakwea pipa kwenda kucheza soka huko nchini Morocco. Sioni ni jinsi gani Msuva anaweza akumudu kumaliza miezi 6 nje ya Tanzania, kwa style yake ya soka na nilivyomshuhudia kwenye michuano ya Cosafa ni wazi kuwa, dirisha dogo la usajili lijalo Msuva atakuwa amerudi zake Bongo tayari kabisa kumwaga wino wake wa kuendelea kukipiga aidha Yanga au Simba.
Najua povu litawatoka ila huo ndio ukweli na mimi ni mjumbe na siku zote mjumbe hauwawi.
Nawasilisha...
Najua povu litawatoka ila huo ndio ukweli na mimi ni mjumbe na siku zote mjumbe hauwawi.
Nawasilisha...