Yanga imemtema Morrison, imefanya tathmini na kuona ni mchezaji mzuri lakini hana impact kwenye klabu, mechi alizocheza na mshahara anaolipwa havifanani, ameonekana ni liability na sio asset.
Yanga wanaona mshahara waliokuwa wanamlipa Morrison wanaweza kumlipa Simon Msuva na taabu ikawa pale pale kwa wapinzani.