Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Saido hakuwa na team lakini moto wake mliuona mpaka sasa mnahangaika kumsajili ila hamna hela ya kumlipa.Bigirimana -currently no team
Msuva- currently no team!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watanzania hatunaga utaratibu wa kununua jezi kisa mchezaji mpya mkuu, Kwanza tunauza jezi ambazo hazina majina ya wachezaji hivo huwezi ata kujua ni mchezaji gani amechangia sana kwenye mauzo ya jezi msimu fulaniTetesi ZINASEMA Yanga imefunga usajili na Msuva, lakini bado wana vikao vya siri je kati yake na Azizi nani awahi kutambulishwa.
Hapa sasa ni biashara ya jezi.
Tarehe 6.8.2022 Yanga Day.
Acha wamsajili tu, huenda akawa msaada huko Cacl.Yanga naona bado wanarudia kosa lile lile
Hawajifunzi kwa makambo
Msuva naye ni wakumuwekea hadi vikao vya siri?
Hawa washamba kweli Msomali kawaletea mbeba maboksi wanachekelea kama mazwazwaYanga naona bado wanarudia kosa lile lile
Hawajifunzi kwa makambo
Msuva naye ni wakumuwekea hadi vikao vya siri?
Mtapasuka Kwa hasira, Nashauri Engineer endelea kupiga spana, mbumbumbu fc wamesha poteana.Hawa washamba kweli Msomali kawaletea mbeba maboksi wanachekelea kama mazwazwa
Hawa washamba kweli Msomali kawaletea mbeba maboksi wanachekelea kama mazwazwa
Mbona nyie kutwa nzima kubana pua kuponda usajili wa Simba?Badala ufurahi kuwa tumeletewa zwazwa..makolo bhana wasajili yanga muumie nyinyi
Hatutaki lawama baadae kuambiwa tunatoa bahashaMbona nyie kutwa nzima kubana pua kuponda usajili wa Simba?
Kwa kusajili huyo mbeba maboksi?Hatutaki lawama baadae kuambiwa tunatoa bahasha
Wakili msomi wakati tunamtoa kwao akua na timu kwa miaka 2,msijitoe ufahamu mbu3Bigirimana -currently no team
Msuva- currently no team!!!
😂😂😂😂
Hawa wanaitwa freeagent fc au dezodezo fcBigirimana -currently no team
Msuva- currently no team!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dezo fc.Karibu nyumbani kiungo mshambuliaji hatari Simon Happygod Msuva! Naamini utaingia mkataba wenye kukupa nafasi ya kuondoka muda wowote utakapo pata timu ya nje, na yenye maslahi mazuri.
Hofu yangu iko tu kwa Yanga ya msimu ujao! Inaogopesha aisee!!
Tulia hivyo hivyoKwa kusajili huyo mbeba maboksi?
Na wewe bong'oa hivyo hivyoTulia hivyo hivyo