Mswaada wa Uganda wa kuhalalisha ndoa na talaka

Mswaada wa Uganda wa kuhalalisha ndoa na talaka

khaaaa kwa kweli
Ivunga embu nitumia
hizo divorce paper nianze kugawa..
nitumie kama sita hivi nadhani zitatosha kwa sasa...
mmmhhhhh
 
khaaaa kwa kweli
Ivunga embu nitumia
hizo divorce paper nianze kugawa..
nitumie kama sita hivi nadhani zitatosha kwa sasa...
mmmhhhhh
hhhaha!! unataka uwape kina nani? wataje kwanza
 
siugopi
kama we utakuwa upande wangu wa kulia hahahhah lol
mmmhhhh naona Speaker ametuaga dahhhhh
alijua nachukua hizo paper hahah lol
hahahhaha!!! alijua kuwa soon mambo yote yatakuwa hadharani
kwa sababu hata huo swaada ukikaa naye zaidi ya miezi sita unaruhusiwa kumtema, hahah
hes so genious!!
 
hahahhaha!!! alijua kuwa soon mambo yote yatakuwa hadharani
kwa sababu hata huo swaada ukikaa naye zaidi ya miezi sita unaruhusiwa kumtema, hahah
hes so genious!!

hahahahahah lol
dahhh alijua nini unaleta hii thread hahahah lol
maana ye alileta ya kutukana wanawake mmmhhh
mmhh lakini nime miss kwa kiasi fulani hahaahah lol
 
hahahahahah lol
dahhh alijua nini unaleta hii thread hahahah lol
maana ye alileta ya kutukana wanawake mmmhhh
mmhh lakini nime miss kwa kiasi fulani hahaahah lol

kaenda JKT atarudi
sasa sijui atarudi vile vile au kivingine
 
kaenda JKT atarudi
sasa sijui atarudi vile vile au kivingine

akitoka huku hana hamu
mmmhhh
atakuwa chizi kweli
suruali anakunja mguu mmoja
shati anakata mikono inakuwa vest..
kiatu mguu mmoja ndala mguu wa pili
nywele Bob Marley mwanafunzi .....
ile hadphone ataivaa ajili ya urembo sababu
Ipod /MP3 or 4 imekufa haahhaahhah lol

dahhhh labda ni mmoja wa hao
wageni hapo chini ananisoma tu lol
 
-Mwanamke anaruhusiwa kumpa mme wake talaka kama atagundua kuwa viungo vya mwanaume havifanyi kazi na kama hawatafanya mapenzi kwa mda wa miezi sita.
-Mwanamke anaruhusiwa kumpa mme wake talaka kama viungo vya mme wake vitakuwa ni vikubwa kwa sababu mapenzi ni raha kati ya watu wawili na wala si karaha, na mwanamke inabidi aonyeshe vitu kama michubuko etc ili kuthibisha kuwa hakuna njia ya kuinusuru hiyo ndoa.
-mwanamke na mwanaume wakishaishi kwa miaka mitano hata kama hawajafunga ndoa wakiachana wagawane mali.
-ulipaji wa mahari usiwe wa lazima.
source: DW swahili
Hapo bold duh, watu wwengi wangekuwa wameachana hapa kwetu
 
acha utani Gaga, ina maana mnafurahia kukaa hivi ?
Hufurahii ila yatupasa tuweze kuyashinda majaribu ya shetani, Mungu hapendi kuachana maisha ya watoto yanaharibika sana
 
Back
Top Bottom