Mtaa mgumu sana aisee

Mtaa mgumu sana aisee

Yaani wewe jamaa una miaka 30? Kwa hizi comment zako na nyuzi za kipuuzi nilidhani utakuwa dogo wa miaka 17-21 something. Kwa akili zako kwa mujibu wa posts na threads zako basi ina make sense kuona maisha ni magumu yasiyo na njia ya kutokea.

Watanzania mnakwama wapi aisee?
usiweke maanani kila kinachoandikwa humu mkuu. wengine humu ni sehemu ya kustarehesha akili.
 
As long as unaamka kila siku ukiwa na afya njema na nguvu ya kufanya kazi utafika unapohitaji. Keep on keeping on.

Birthday Blessings.
 
Hilo tabia ya kulalamika lalamika huwa inaongeza ugumu maradufu! Jikaze mtoto wa kiume!
 
Hongera kwa kutimiza 30yrs, ishi miaka mingi na ufurahie uhai.
Haya mengine yanapita tyuuh.
THANKS BABY LOVE na wew uwe una comment kiki kike na sio kiume etiiii tujue wee unatuzidi mashimo
au nimekosea wajuba ???? hehhhhh hatareeeeeeeeeeeee
 
Hongera kwa kutimiza 30yrs, ishi miaka mingi na ufurahie uhai.
Haya mengine yanapita tyuuh.
nani kakufundisha tabia ya kutoa password fridge lako haligandishi..? nitakufundisha wewe binti mpaka uwe wife material ndo nikuwowe...😂
 
Back
Top Bottom