usiweke maanani kila kinachoandikwa humu mkuu. wengine humu ni sehemu ya kustarehesha akili.Yaani wewe jamaa una miaka 30? Kwa hizi comment zako na nyuzi za kipuuzi nilidhani utakuwa dogo wa miaka 17-21 something. Kwa akili zako kwa mujibu wa posts na threads zako basi ina make sense kuona maisha ni magumu yasiyo na njia ya kutokea.
Watanzania mnakwama wapi aisee?
Bado hazijakuboaa, yaan badoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]'Tyuuh' zako zinaboa kichizi[emoji51][emoji51][emoji51]
Covid kajua jamaa kajipataπMiaka 30
THANKS BABY LOVE na wew uwe una comment kiki kike na sio kiume etiiii tujue wee unatuzidi mashimoHongera kwa kutimiza 30yrs, ishi miaka mingi na ufurahie uhai.
Haya mengine yanapita tyuuh.
Usiumie wakati mwema waja ndugu.Dah mm nipo ghorofa ya 2.8 ila dah ndo kwanza najitolea π
Napandishwa cheo nahamia ghorofa ya pili chumba namba 9 πHAHH GHOROFA YA PILI CHUMBA NAMBA NANE MHHH WEEE KESHO ASUBUI TUUU SAA 4 KAMA SHERIA ZINAVYOSEMA UNAACHIA CHUMBA YA LODGE HIYO
nani kakufundisha tabia ya kutoa password fridge lako haligandishi..? nitakufundisha wewe binti mpaka uwe wife material ndo nikuwowe...πHongera kwa kutimiza 30yrs, ishi miaka mingi na ufurahie uhai.
Haya mengine yanapita tyuuh.
π€π€π€π€π€π€πͺπͺπͺπͺπͺBado hazijakuboaa, yaan badoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]