Mtaa umejaa wanaijeria

Mtaa umejaa wanaijeria

wajinga wanasapoti wanaijeria ioa hao jamaa ni hatari wanapenda biashara ya kuuza watu ndo zao , SA sio wajinga kaa tunavyofikiri
Tunawakakaribisha Wageni waje kuishi Tz,ukarimu wetu ndio unatuponza wanatake advantages kufanya mambo ya uhalifu,na katika africa nchi ambayo bado ina watu wakarimu nadhani ni Tz.nchi nyingi za africa Zina ukabila na udini
 
Sito kujibu tena for sure maana wew ni wa kupuuzwa....
Unacho, tunacho bishania sikioni so nilikwambia mara kadhaa soma hii thread tangu nilipo Anza kuchangia hujafanya ivyo MR. SARCASTIC

Huo uchumi unao jimwambafy kuujua sisi wengine tumeusoma tena kwenye shule ya vipaji maalum 😂😂🤣🤣
Huko university na degree mbili zote zipo kabatini...

Kaka angu Toxic Concotion hapa jukwaani aliwai nambia "Never argue with a fool; onlookers may not be able to tell the difference" ☺️☺️🤓🤓

Wasalaam.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Uchumi wa a level ni upuuzi tu,nenda kanywe kahawa na kaka yako
 
Mifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana

Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwana

Warere beach hotel Zanzibar: Zainab Oladehinde sexual assault claim, Zanzibar hotel reply​

17 April 2022
Warere beach hotel Zanzibar: Zainab Oladehinde sexual assault claim, Zanzibar hotel reply

WIA DIS FOTO COME FROM,@ZAINABDEHINDE/ TWITTER/ GETTY IMAGES
Wetin we call dis foto,
Zainab and Zanzibar beach
Zanzibar Commission for Tourism dey investigate Zainab Oladehinde sexual assault claim wen she spend vacation inside Warere beach hotel.
Zainab, na Nigerian lady wey become guest of Warere beach hotel in April 2021 to mark her 23rd birthday but e become a sad experience, according to her.
Hii ndio michezo yao ya kutapeli unaikumbuka hii issue
 
Acha kukariri bro
Wanaija wako huku kibao na tunachonga nao mm sio punguan kuweka Uzi huu
Ndg zako wanaokuja dar wanakudangany kwamba masak na oystby n sehem za Bata kwa taarfa yako hizo n sehem zenye washua weng tu na sio sehem za Bata kama unavyodanganywa
Anyway karibu dar ujionee mwnyw
Mkuu upo mkoa gani.... Unasema masaki na oysterbay sio sehem za bata au nimekuskia vibaya?
 
Ni kweli,wiki iliyopita nilikuwa maeneo ya tabata segerea kwenye bar moja naangalia mpira na washkaji zangu, pale walijaa Waganda na Wanyarwanda.

Nilikuja kuwagundua kwa lugha zao,tena walikuwa hawajifichi..kingereza na kilugha chao waziwazi.
Mkuu..segerea ipi?
 
Nimevuta picha tunavyochukuliwa sisi waamiaji daah, nimesoma hiyo post pamoja na kufatilia comment mmh ifike mda nirudi nyumbani pengine nitapata heshima ninayostahili

Kwann? Haswa tunachukuliwa ni kama ni watu haramu na hatuna tunachofanya ugenini Kama sio kuuza madawa na dili zilizo kinyume na sheria

Nazidi kushangaa ila ukimuona mzungu/ngozi nyeupe haushangai ila weusi kwa weusi tunaonana kwa macho mabaya

M/Mungu nijaalie mda wangu uishe salama nirudi nyumbani salama InshAAllah [emoji1431], kama upo ndani ya nchi yako uliyozaliwa hauwezi kumuelewa mgeni katika nchi yako mpaka siku moja utoke na wewe uwe mgeni kwenye nchi ya mwenzako
 
Mheshimiwa Rais tupia jicho idara ya uhamiaji,kama ulivyoimulika polisi!! Hali ni mbaya nchi imevamiwa na wageni!!
Wamalawi,wanaijeria,wakameruni wamevamia nchi wananunua hivi viwanja vinavyouzwa na makampuni binafsi,mbaya zaidi hawaulizwi utambulisho wao kama national id !! Haya makampuni yanayaka pesa tuu!!
Wamejaa Sana huku gezaulole wengi wananunua viwanja vilivyo ufukweni!! Ni hatari Sana, hasa suala la madawa ya kulevya!! Pia ukienda tuangoma,kimbiji wapo wa kutosha usiku ndio hujiachia !!
Idara ya uhamiaji ni wapigaji tuu wanakuja usiku na kuondoka!
Hawa jamaa ni wajanja Sana usiku hujichanganya bar na kucheza pool table Kwa lengo la kujifunza kiswahili Kwa watanzania
Hatari Sana
 
Back
Top Bottom