Mtaa umejaa wanaijeria

wajinga wanasapoti wanaijeria ioa hao jamaa ni hatari wanapenda biashara ya kuuza watu ndo zao , SA sio wajinga kaa tunavyofikiri
Tunawakakaribisha Wageni waje kuishi Tz,ukarimu wetu ndio unatuponza wanatake advantages kufanya mambo ya uhalifu,na katika africa nchi ambayo bado ina watu wakarimu nadhani ni Tz.nchi nyingi za africa Zina ukabila na udini
 
Uchumi wa a level ni upuuzi tu,nenda kanywe kahawa na kaka yako
 
Mifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana

Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwana

Warere beach hotel Zanzibar: Zainab Oladehinde sexual assault claim, Zanzibar hotel reply​

17 April 2022

WIA DIS FOTO COME FROM,@ZAINABDEHINDE/ TWITTER/ GETTY IMAGES
Wetin we call dis foto,
Zainab and Zanzibar beach
Zanzibar Commission for Tourism dey investigate Zainab Oladehinde sexual assault claim wen she spend vacation inside Warere beach hotel.
Zainab, na Nigerian lady wey become guest of Warere beach hotel in April 2021 to mark her 23rd birthday but e become a sad experience, according to her.
Hii ndio michezo yao ya kutapeli unaikumbuka hii issue
 
Mkuu upo mkoa gani.... Unasema masaki na oysterbay sio sehem za bata au nimekuskia vibaya?
 
Ni kweli,wiki iliyopita nilikuwa maeneo ya tabata segerea kwenye bar moja naangalia mpira na washkaji zangu, pale walijaa Waganda na Wanyarwanda.

Nilikuja kuwagundua kwa lugha zao,tena walikuwa hawajifichi..kingereza na kilugha chao waziwazi.
Mkuu..segerea ipi?
 
Nimevuta picha tunavyochukuliwa sisi waamiaji daah, nimesoma hiyo post pamoja na kufatilia comment mmh ifike mda nirudi nyumbani pengine nitapata heshima ninayostahili

Kwann? Haswa tunachukuliwa ni kama ni watu haramu na hatuna tunachofanya ugenini Kama sio kuuza madawa na dili zilizo kinyume na sheria

Nazidi kushangaa ila ukimuona mzungu/ngozi nyeupe haushangai ila weusi kwa weusi tunaonana kwa macho mabaya

M/Mungu nijaalie mda wangu uishe salama nirudi nyumbani salama InshAAllah [emoji1431], kama upo ndani ya nchi yako uliyozaliwa hauwezi kumuelewa mgeni katika nchi yako mpaka siku moja utoke na wewe uwe mgeni kwenye nchi ya mwenzako
 
Hatari Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…