Nitafanya hivyo mkuu
..search also " battle of Lukaya "
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafanya hivyo mkuu
Ok ngoja niangalie nadhani hapo Lukaya ndipo walipokufa walbya wengi mkuu???..search also " battle of Lukaya "
Akikujibu nistue kwasababu hamna watu wabaguzi kama waislamuSijui kama upande huo mwingine wangeweza kuruhusu hili lifanyike sina hakika
Upo very sensitive na mambo ya kiimaniDuh, huyu mrombo nani alimsilimisha?
Wachaga waislam wanapatikana:
-Masama ukanda wa kwa Sadala
-Lyamungo ambapo ni mpakani mwa Kibosho na Machame.
Kitabu kulizuiwa kwa sababu maalumMshangao wa kwanza ni kuwa Kimario kumbe alikuwa Islam, okay.
Kweli nilisikia miaka ile kuwa jeshi letu lililemewa sana huko kwa nduli, japo ilikuwa siri kuu.
Kuhusu hilo alilokuambia kuwa anaandika historia yake hebu jaribu kufuatilia yawezekana makaratasi yakawepo.
Itakuwa nzuri kwenye makumbusho ya Taifa au hata hapa jf tu.
Magufuli alikuwa Muislam?Akikujibu nistue kwasababu hamna watu wabaguzi kama waislamu
Magufuli alikuwa Muislam?
..Ni Meja Jenerali Muhidin Mfaume Kimario.
..Jina la kivita anaitwa " Kamanda Mbogo. "
..Kimario ndiye kamanda aliyeongoza mapigano ya Sembabule au the battle of Sembabule.
..Majeshi ya Tanzania yalikuwa ktk wakati mgumu sana.
..Hapo Sembabule kulikuwa karibu na yalipo makambi ya Tiger Regiment ya Uganda.
..Kulitokea mapigano makali kati ya vijana wetu wa Jwtz [ brigade # 205] na majeshi ya Amin.
..Vijana wetu wa Jwtz walikuwa ktk hatari ya kushindwa mapigano hayo, na wajuzi wa mambo ya kivita wanasema Tanzania angepigwa Sembabule, basi angeshindwa vita.
..Hali ktk uwanja wa mapambano ilikuwa tete mno kiasi cha kulazimisha Mkuu wa Jwtz, na kamanda wa divishen kutembelea uwanja wa mapambano kuhakiki kinachoendelea.
..Kutokana na askari wetu kukwama ilibidi aitwe Brigedia Muhidin Kimario kuongoza mapambano ya kuwakwamua vijana wetu. Kimario aliifanya kazi hiyo kwa weledi mkubwa na ushindi ukapatikana.
Mie nilijua Chang'ombe quaters waliishi civil servants, kumbe hata wanajeshi walikuwemo?Baba yangu ambaye vile vile alikuwa mwanajeshi aliyekuwa karibu na Gen Kimario walikuwa wote serikali ya Mwalimu Nyerere.
Ni kweli, wanajeshi wengi tu waliishi Chang'ombe Govt houses miaka ya zamani, hasa senior officers!Mie nilijua Chang'ombe quaters waliishi civil servants, kumbe hata wanajeshi walikuwemo?
Anyway, nilikuwa bado mdogo sana kuyajua mengi.