Mtaa wa Muhidin Mfaume Kimario Kinondoni Moscow

Duh, huyu mrombo nani alimsilimisha?

Wachaga waislam wanapatikana:
-Masama ukanda wa kwa Sadala
-Lyamungo ambapo ni mpakani mwa Kibosho na Machame.
Upo very sensitive na mambo ya kiimani
 
Kitabu kulizuiwa kwa sababu maalum

aliundiwa zengwe la kuchafuliwa akiwa Mkuu wa CDA Dodoma

Mkapa akagundua fitna ile akampa Nishani ya juu kabisa kwa utumishi uliotukuka

alikuwa hapendi unafiki

kuna Viongozi walikuwa wanamchimba chimba sana kwa fitna …akakutana nao Airport wakati wanamkaribisha Baba wa Taifa Mwl Nyerere Dodoma…alimshika Mkono Baba wa Taifa akiwa ame lineup akamvuta Mstaafu Nyerere nje ya mstari kwa mkono wa kushoto a yule Mh.kwa Mkono wa kulia akamuuliza …

Kimario alisoma Israel akitumia hati ya kusafiria ya Ghana
 

Kuna mzee jirani yetu kipindi nakaa huko vituka alikuwa hasikii vizuri nikauliza naambiwa lile kombora lilidondosha ndege huko uganda kipindi hicho ni huyo mzee aliidungua mpaka sasa ana ugonjwa wa kutokusikia
 
Mie nilijua Chang'ombe quaters waliishi civil servants, kumbe hata wanajeshi walikuwemo?

Anyway, nilikuwa bado mdogo sana kuyajua mengi.
Ni kweli, wanajeshi wengi tu waliishi Chang'ombe Govt houses miaka ya zamani, hasa senior officers!
Sisi tumekaa hspo toka 1967.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…