Mtaa wa Pili Kaeni Chonjo: Msiyempenda Anakuja

Simba Strike search.
Judges: Hans pope a.k.a Madam Ritha.
Haji manara: a.k.a Salama Jabir
Aveva a.k.a Master jay
 
nasikia hata huyo amedengua afu mwingine kakataa kifanywa majaribio,,,,tehtehteh!!!!


ukishangaa ya RAGE utayaona ya MAMBUMBUMBU
 

Mkuu vipi huyo jamaa keshafika, au ndo bado yuko njiani?
 
Kumbe anfunga match za majaribio, mleten kwenye league kuu, aonekama atafunga
 
Ligi aliyotoka kafunga bao ngap Mkuu
 
Kwani dirisha la usajiri bado halijafungwa??????????????????????
Km bado bas hilo sio tena dirisha labda utakuwa MLANGO!
 

Mkuu goal alifunga awadh juma kwa huyo m'burundi hapana hakufunga ktk simba day myb alifunga na ura ya uganda
 

...una unachojua...simba day...Kelvin Ndayisenga hakucheza....pia angalia list ya timu yako hii unayoisema safu ya ushambuliaji utajua uko na akina nani..then rudi hapa tuambie nani (20+ goal holder)..kwa misimu miwili iliyopota
 
...una unachojua...simba day...Kelvin Ndayisenga hakucheza....pia angalia list ya timu yako hii unayoisema safu ya ushambuliaji utajua uko na akina nani..then rudi hapa tuambie nani (20+ goal holder)..kwa misimu miwili iliyopota

Subiri ligi ianze ndo utamuona 20+ goal holder.
 
Kwani dirisha la usajiri bado halijafungwa??????????????????????
Km bado bas hilo sio tena dirisha labda utakuwa MLANGO!

Mkuu Dirisha la wachezaji toka nje ya nchi bado halijafungwa.
 
Mkuu Sembo ww ni miongoni mwa mashabiki wachache wa simba hapa jf ambao nilikuwa nawakubali kitambo lakin siku hizi umekuwa mbwabwaji wa maneno mengi kama Msemaji wenu wa timu Haiji Kung'ara.
Ulioongea sana kuhusu Mavugo, baadae ukaleta stori za Papa Niang yule mtalii kutoka Senegal hapo napo ukachemka, bado huko nyuma alitamba na mashairi ya Ndayisenga, ukaja na ngonjera za N'daw.
 
Papa Niang nae mlimpa promo kumbe ni muuza mitumba Senegal sasa mnampaisha huyu nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…