Mtaa wa saba..

Mtaa wa saba..

Mentor

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
20,328
Reaction score
23,909
This one hapenned for real..
Juzi Ijumaa usiku tupo mtaa wa saba tunapata vya kupooza akili..mara wakapiga lile lisongi la "Wanaume tumeumbwa, mateso, mateso, kuhangaika.."
Mara akatokea shoga akasimama akasema: (kwa sauti ya kishoga) "Aku, mi sipo huko. Mi nlijua ndo maana nkatoka huko siku nyingi!"
Aah..bwana watu tuliishiwa nguvu kwa kucheka...
 
Back
Top Bottom