Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,909
This one hapenned for real..
Juzi Ijumaa usiku tupo mtaa wa saba tunapata vya kupooza akili..mara wakapiga lile lisongi la "Wanaume tumeumbwa, mateso, mateso, kuhangaika.."
Mara akatokea shoga akasimama akasema: (kwa sauti ya kishoga) "Aku, mi sipo huko. Mi nlijua ndo maana nkatoka huko siku nyingi!"
Aah..bwana watu tuliishiwa nguvu kwa kucheka...
Juzi Ijumaa usiku tupo mtaa wa saba tunapata vya kupooza akili..mara wakapiga lile lisongi la "Wanaume tumeumbwa, mateso, mateso, kuhangaika.."
Mara akatokea shoga akasimama akasema: (kwa sauti ya kishoga) "Aku, mi sipo huko. Mi nlijua ndo maana nkatoka huko siku nyingi!"
Aah..bwana watu tuliishiwa nguvu kwa kucheka...