johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chanzo nimekiweka bwashee!Alafu mwenyekiti wa serikali ya mtaa syo huyo Abdul ni atimu
Johnmbatizaji kinondoni yote iko kiganjani mwangu
Ova
Gaidi kalawatumie ruzuku
Unauliza picha kwenye mafuriko! Mbona ilikwenda na mafuriko, kaitafute Salenda baharini.Uzi bila picha ya mafuriko ni sawa na porojo tu
Wachana na hilo gubigubi la chakubanga
Lini ccm waliwahi kujali maslahi ya wananchi?Hebu maize diwani idrisa, mwenyekiti wa mtaa pale hatim,mb tarimba
Kuja maji pale si walishulikia,mbn tatizo lunarudi
Ova
Serikali ya CCM inakuja kutoa msaada mwambie Mnyika awahi ofisini!Mbona unawashwa kiasi huwezi fanyia evaluation mada zako kabla ya kuzipandisha hewani?
Tunazungumzia mafuriko bwashee siyo chama!Bwashe bado hiki chama kinawakerrketa?
So hakin mbunge hata mmoja
Ipo siku utapakuliwa nyuma na utasema ccm imekufikisha hapoCcm ndio imetufikisha hapa