ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #141
Kijani Kuna watu wa maana kuliko huko Kwa wapayukaji wasio na roadmap Wala mikakati.Ila upande wa kijani ni bogus zaidi🥱🥱🥱
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijani Kuna watu wa maana kuliko huko Kwa wapayukaji wasio na roadmap Wala mikakati.Ila upande wa kijani ni bogus zaidi🥱🥱🥱
Mnapesa zakuwalipa had mtu aache kwenda kwenye mabenk, bandari aje hukoUalimu
Sekta ya Afya
Wapelekwe waliofaulu tu, waliofeli watafute vitu vingine vya kufanya
Huko kwingine ni watu wachache sana ,huku Kuna fursa kubwa so maslahi yakiboreshwa kidogo kiasi itavutia watu wenye akiliMnapesa zakuwalipa had mtu aache kwenda kwenye mabenk, bandari aje huko
me naona hizo shule za msingi ndo wanafunzi wataunganisha hapo hapo na masomo ya sekondari kidato cha nne ndo maana walimu wanaotakiwa kufundisha ni wa digri na mastersHuu mtaala ni mzuuri lakin siyo sanaa Sasa hapa kwenye utekelezaji ni zero kwanz mm naona ni siasa tuu unawezaje kusema darasa la kwanz mpka form four Huku hujaboresha miundombinu mfano kata Moja Ina shule za msingi 6 mpka 5 Alfu shule ya secondary ipo Moja kata nzima ndo ihudumie shule 6 za msingi,,,, Alfu hiyo shule Moja ya secondary unakuta Ina changamoto ya Madarasa Yani wanafunz hawatoshelezi kweny Madarasa,, imagine watoto waunganishe kutoka la kwanza mpka secondary kama hatuendo kutengeneza zero nyingi kwa sabab ya changamoto za miundo mbinu kama vyoo, maji pamoja na mazingira kwa ujumla Kuna baadhi ya wanafunzi wapo mbali na shule ya sekondari watahitaji waishi bwenini Ili Kuwa karibu na shule,, na masomo ya secondary siyo kama msingi inahitaji mtot ajipange vizuri kimazingira.
Kwangu mm sion huu mtaala kama utaleta faida kama wanataka faida waboreshe miundo mbinu kama kujenga Madarasa kutengeneza mazingira Bora.
Tusifurahie mtaala huu mzuri tifikirie upande wa pili mfano kwenye mtaala huo nimeona wanasema mason ya tehema (technology) yatakuwa kipaumbele je vitendea kazi vipo kama walimu wa kufundisha hayo masomo lakini pia hizo computer 🖥️ zipo kwa ajili ya kujifunza kwa upande wa practically,, na hizo computer zitahitaji kuendeshwa kwa umeme, mfano Huku kwetu shule Ina zaidi ya miaka 40 lakin Haina umeme so hapo serikari imejipanga kivip au ni siasa tuu
Kwenye kusema hapo walimu sjui wa shule msingi wakafanye mitihani ya form six hicho kitu kigum coz Kuna baadhi sifa za kufanya mtihani wa form six mfano Kuna shule Moja Kuna mwalimu ana certificate lakin kwenye cheti chake ana four ya 28 Yani Hawa ndo wale walokua wakihitim Kipindi JK maana hat zile credit za kwenda advance Hana Sasa huyo umrudishe tena form six kumferisha tuu
Kiufupi huu mtaala upo vizur lakin bila kuboresha miundombinu huu mtaala hauna faida yeyote na wanafunzi wanaweza hitimu lakin wasiambulie kitu
walimu wa masters hawezi kujituma kama walimu wa diploma na digri wao muda mwingi mikoni mfukoni tu ndo maana makampuni mengi yaliyofanikiwa watenda kazi wazuri ni ma-technicians na artisansWametoka kuajiri walimu juz juz hapa.. walizingatia hizo sifa maana najua kbs hii project ilikuw tyr documented au hawakufanya forecasting vzr?
Ningependa zaidi walimu wawe na masters kbs pia mishahara iongezwe.
Hii nchi ina walimu vilaza wengi warudi shule.
Na bila shaka walimu wanalipwa huko Scandinavia.Hazina walimu wenye Diploma lazima uwe na University degree ns teaching licence
Wao degree huita University Diploma
Mtu wa nje ukitaka kufundisha Scandinavian schools lazima ujue lugha yao na uwe na digrii ya education kwenye masomo husika
Bila degree hufundishi hata chekechea
Ili kuzivutia hizo div 1 na 2 waongezea maslahi mapana katika Fani ualimu.Uko sahihi kabisa, wakati niko SUA miaka ya nyuma, wale waliokuwa vipanga na kumaliza chuo na GPA kali ndiyo walikuwa wanabakishwa chuoni na baadae wanaendelea Masters na kuwa assistant lecturers. Shida ya huku ualimu wa primary na sekondari ni maslahi duni, kiasi kwamba sidhani kama wenye Div 1 na 2 watakubali kwenda ualimu.
Mwalimu wa Diploma anakuaje deep helezea hapo kwanzaSikubaliani na wewe. Walimu wa diploma kwa o level wanafaa sana, na huwa wako deep kuliko hao wa University. Ufaulu Private huchangiwa na mambo mengi. Mfano huchagua wanafunzi wazuri tu huku sekondari za umma zikihamishiwa darasa la saba zima bila mchujo wa maana.
Pia, wana miundombinu ya kutosha na hata teacher to student ratio si kubwa kivile. Kama hujui miaka ya nyuma (2000 kurudi nyuma, o level zote zilikuwa na walimu wa diploma tu, lakini ufaulu ulikuwa mzuri kuliko hizo private. Sababu, sekondari zilikuwa chache sana na hivyo mchujo wa maana.
Ebu fikiria tena je Vitabu vipo vya kufundishia Madarasa je? Walimu yani mwalimu afundishe la kwanza au la tano tena aende afundishe form three hicho kitu kinawezekana haya Leo tunaona shule msingi nying wanafunzi hawana madawati weng wao wanakaa chin je hilo utapambana nalo vipi? Kama umesoma secondary nafikiri unajua jinsi gani masom ya secondary yalivyo yanahitaji mazingira Bora Ili mwanafunzi afaulu siyo kwa mazingira mabovu tu ufikiri utatengeneza ufauli mzuri hicho kitu hakiwezekanime naona hizo shule za msingi ndo wanafunzi wataunganisha hapo hapo na masomo ya sekondari kidato cha nne ndo maana walimu wanaotakiwa kufundisha ni wa digri na masters
wataboresha wanasema wamejipangaEbu fikiria tena je Vitabu vipo vya kufundishia Madarasa je? Walimu yani mwalimu afundishe la kwanza au la tano tena aende afundishe form three hicho kitu kinawezekana haya Leo tunaona shule msingi nying wanafunzi hawana madawati weng wao wanakaa chin je hilo utapambana nalo vipi? Kama umesoma secondary nafikiri unajua jinsi gani masom ya secondary yalivyo yanahitaji mazingira Bora Ili mwanafunzi afaulu siyo kwa mazingira mabovu tu ufikiri utatengeneza ufauli mzuri hicho kitu hakiwezekani
Waboreshe miundo mbinu kwanza ndo mengine yafuate
Ni kama unataka mambo yabaki vile vile kama zamani lakini hayana tena impact kwa Sasa Hali halisi ilivyo.Hizi Elimu za vyuo vikuu wanazitukuza tu % kubwa hazina impact na wanaozisoma wenyewe % kubwa ni weupe kabisa kichwani. Nadhani waliomaliza vyuo vikuu mtanisapoti kwa hili. Huko vyuoni kuna mengi ya kuboresha. Km mtu anamaliza chuo kikuu lakini ni mweupe kichwani inakuwa haina maana. Hata lugha tu ya Kiingereza ambayo ndiyo lugha ya kufundishia na kujifunzia unakuta mhitimu hawezi hata kutengeneza sentence moja. Wakati nipo chuo kikuu nimeshuhudia wanachuo wanashindwa kabisa ku-present assignments wanazopewa. Wakati wa presentation mtu ana tetemeka mwili mzima utadhani kuku wa kideli, lakini mwisho wa sku anapitia mgongo wa wenzake ktk course work na kuhitimu. Na huyo eti ndiyo tunataka awafundishe watoto wetu kisa kamaliza Diploma au Degree na GPA kubwa.
Mimi nadhani tulitakuwa tuanze na watoa hizo degree. Tatizo lililoko huko vyuoni kwa sasa limetokana na serikali kuthamini matokeo ya kwenye makaratasi(ufaulu wa vyeti) kuliko uhalisia wa mtu kichwani. Mfano eti ili uwe lecturer sharti uwe na 3.5 na kuendelea undergraduate wakati mtu anakuwa na 4.0 lakini reasoning yake na presentation of ideas are poor. Bora tungeimarisha huko kwanza kuondoa Walimu wa vyuo vikuu wenye GPA kubwa lakini kichwani wanatia mashaka na pia kudhibiti utoaji wa degree za ujanja ujanja(nimewahi kuskia vijana wakiziita degree za vyupi, sjui ni degree gani hizo).
Na niseme tu kuwa hata mambo wanayosoma kwa sasa huko vyuo vikuu wanaenda kutumia robo tu ktk ufundishaji hasa O-level. Enzi zetu Mwalimu wa degree alikuwa anafundisha A-level tu, sio km sasa eti wanafundishwa hadi Msingi. Are we serious. Sisi tumefundishwa na Walimu wa UPE na waliomaliza Elimu ya mkoloni darasa la 4 tukiwa shule ya Msingi, Walimu wa Diploma kwa O-level, na wa Degree kwa A-level na walikuwa wazuri sana hata kuliko wa sasa. Kwa nini hatujiulizi hilo na kujiuliza tulikosea wapi hadi baadae tukapata Walimu wenye uwezo hafifu.
Hivyo, tulitakiwa kupata majibu ya wapi tulipotoka, tumefikaje hapa, na tutaendaj huko mbele bila kubadilisha mtaala kwa kasi ya 4G na kuwabana Walimu kuwa na Elimu kubwa wakati application yake ktk kazi zao hata robo haifiki. Kuendelea kuthamini Elimu kubwa na GPA kubwa ni kujitekenya na kucheka wenyewe.
Sioni ulazimana wa Walimu wa shule ya Msingi kuwa na Diploma na Sekondarikuwa na degree kwa kuzingatia hayo niliyosema hapo juu. Wapo watakaonipinga lakini huo ndiyo ukweli. Kuna Walimu kibao tu Wana Elimu ya cheti au stashahda lakini wako makini na wanajuwa kuliko hao wa degree.
Km wingi wa madarasa kichwani ni utambulisho kwa mtu kuwa amesoma sana na kujua mengi mbona serikalini Elimu ya Uzamili ( Masters) kwa Walimu haitambuliki wala siyo ya lazima. Yani ukiwa nayo ni sawa na pambo tu haitakuongezea chochote ktk career yako ya Ualimu? Maanake ni kuwa mtu wa Masters kwa career ya Ualimu hana jipya tofauti na undergraduate. Na huo pia unabakia kuwa ukweli.
Nimemaliza, wale milozaliwa kwa ajili ya kupingapinga bila hoja madhubuti kazi kwenu.
Lakin siyo kwa miaka ya hivi Karibuni kwa siasa ya bongo hili litakaa long time Ili litimie tofaut na hapo litaishia kwenye makaratasi tuwataboresha wanasema wamejipanga
Sio lazima walimo wote wa diploma waomdoke kwenda masomoni wakiiacha shule Haina walimuKabisa mkuu,
Sikufanya utafiti ila mdo
Kabisa mkuu,
Sikufanya utafiti ila nilimuuliza mdogo wangu ni Mwl.
Majibu yalikuwa hivi;
Shuleni kwao kuna walimu 17,kati yao mathematics ni 3,Physics 2, chemistry ni 3(HM) ndani, Biology ni 4(HM)ndani. Kati ya hao degree holder ni 2 kwa maana ya mathematics and ICT, Chemistry and biology (HM). Waliosalia (physics and mathematics ni 1),(Chemistry and biology ni 2),(mathematics and geography ni 1) na (physics and biology ni 1) hawa wote ni diploma holder. Hapo ni shule moja,waende masomoni kwa wakati mmoja?
Hili suala Linahitaji maandalizi ya muda mrefu ili kuto athiri ufundishaji na ujifunzaji shuleni.
Mdogo wangu ndo huyo wa physics and mathematics lkn anasema hana muda wa kupoteza kwenda kupiga book upya,yuko tayari kwenda msingi ama achote mpunga Bank ajiengue akasomee pharmacy baadae afungue pharmacy kuliko elimuni huko kutishiana kwingi.
Kuna kitu kinaitwa elimumsingi maana yake ni elimu kuanzisha Darasa la kwanza hadi kidato Cha sita.Ila kumbuka Kuna diploma ya primary na diploma ya secondary education
Usichanganye madesa
Hio ndio mistake kubwa wamefanya wanaongeza idadi nyingine ya walimu wenye certificate wakati wanataka kuachana na huo mfumo.Wametoka kuajiri walimu juz juz hapa.. walizingatia hizo sifa maana najua kbs hii project ilikuw tyr documented au hawakufanya forecasting vzr?
Ningependa zaidi walimu wawe na masters kbs pia mishahara iongezwe.
Hii nchi ina walimu vilaza wengi warudi shule.
Hio ndio mistake kubwa wamefanya wanaongeza idadi nyingine ya walimu wenye certificate wakati wanataka kuachana na huo mfumo.Wametoka kuajiri walimu juz juz hapa.. walizingatia hizo sifa maana najua kbs hii project ilikuw tyr documented au hawakufanya forecasting vzr?
Ningependa zaidi walimu wawe na masters kbs pia mishahara iongezwe.
Hii nchi ina walimu vilaza wengi warudi shule.
Hili nalo ni tatizo uslimu unahitaji hadhi na maslahi mazuri zaidi kuwavutia waliofaulu vizuri waje kwenye hio kadaMnapesa zakuwalipa had mtu aache kwenda kwenye mabenk, bandari aje huko
Tatizo linakuja ni pale mwalimu mwenye masters unapomlipa sawia na mwalimu mwenye chetiwalimu wa masters hawezi kujituma kama walimu wa diploma na digri wao muda mwingi mikoni mfukoni tu ndo maana makampuni mengi yaliyofanikiwa watenda kazi wazuri ni ma-technicians na artisans
Kifupi mwalimu mwenye Diploma hawezi jioinganisha na mwenye digrii hata siku.moja yuko chini sana wa Diploma sababu vyuoni wanakosomea Diploma za ualimu ,walimu wanaowafundisha hizo diploma ni wenye digriiMwalimu wa Diploma anakuaje deep helezea hapo kwanza
Anasoma miaka 2 tu Chuo wakati wa degree miaka 3 plus form six yake.