Mtaala mpya wa elimu wazinduliwa nchi yote ya Kenya

Hehe unakumbuka magufuli akifukuza walimu wa Kenya, Juzi juzi kaamua wanafunzi wote watakaoshikwa na mimba wafukuzwe shule.... What do you expecti from such policies
 
Ila jirani yako akifanya kitu kizuri ...kumsifia si zambi kenya kwa kweli kwa east africa kuna mambo mengi sana ya kujifunza kwao ukitoa changamoto zao za ukabila.uhuru wa tume yao ya uchaguzi ni wa kuigwa mm nawapa sana big up hongereni amjirani zetu
 
Hehe unakumbuka magufuli akifukuza walimu wa Kenya, Juzi juzi kaamua wanafunzi wote watakaoshikwa na mimba wafukuzwe shule.... What do you expecti from such policies
Unprecedented high illeteracy rates.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…