2018
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 546
- 779
Habari zenu wakuu, Mimi ni mtaalam wa kilimo na ufugaji nimeupata ujuzi huu kutoka katika chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine Morogoro.
Natafuta mtu ambaye anatamani kuwekeza katika kilimo cha kisasa,lakini hajui pa kuanzia.
Mimi binafsi natamani kuwekeza katika kilimo cha kisasa na ufugaji maana utaalam na uzoefu ninao wa kutosha ila nimekosa mtaji na eneo la kufanya shughuli hizo,hivyo basi nakaribisha mtu yeyote ambaye yupo committed kuwekeza katika kazi hii yenye manufaa makubwa ndani ya muda mfupi.
Kilimo cha mboga mboga,matango,karoti, vitunguu,nyanya,viazi,nyanya chungu ni kilimo chenye faida kubwa ndani ya miezi michache,pia ufugaji wa kuku,bata,sungura vyote hivyo vitarudisha hela yako mapema endapo utazingatia kanuni bora za kilimo na ufugaji wa kitaalamu.
Hivyo kama kuna mtu yupo Mbeya anataka tufanye kazi hii nipo tayari kufanya nae kazi
Nipate kwa 0755340150
Nipo Mbeya mjini
Karibu!
Natafuta mtu ambaye anatamani kuwekeza katika kilimo cha kisasa,lakini hajui pa kuanzia.
Mimi binafsi natamani kuwekeza katika kilimo cha kisasa na ufugaji maana utaalam na uzoefu ninao wa kutosha ila nimekosa mtaji na eneo la kufanya shughuli hizo,hivyo basi nakaribisha mtu yeyote ambaye yupo committed kuwekeza katika kazi hii yenye manufaa makubwa ndani ya muda mfupi.
Kilimo cha mboga mboga,matango,karoti, vitunguu,nyanya,viazi,nyanya chungu ni kilimo chenye faida kubwa ndani ya miezi michache,pia ufugaji wa kuku,bata,sungura vyote hivyo vitarudisha hela yako mapema endapo utazingatia kanuni bora za kilimo na ufugaji wa kitaalamu.
Hivyo kama kuna mtu yupo Mbeya anataka tufanye kazi hii nipo tayari kufanya nae kazi
Nipate kwa 0755340150
Nipo Mbeya mjini
Karibu!