Mtaalam wa kilimo na ufugaji Morogoro

Mtaalam wa kilimo na ufugaji Morogoro

Mimi nina eneo zuri huko Turiani na ninapenda sana kuwekeza kwenye kilimo BUT tatizo kuu ni mifugo, wamang'ati na wamasai wamekuwa ni kikwazo kikubwa sana kwa ufugaji wao wa holela. Nishawishi ni kwa namna gani wewe utakabiliana na hii changamoto??
Mkuu natafuta eneo kwajili ya kilimo Turiani, la kununua naomba muongozo wako.
 
Back
Top Bottom