Mtaalam wa Saikolojia: Wapiga 'Kura' wengi hupenda Kuwapigia Kura wale wa Kwanza Kwanza 'Pichani' na wale wa Mwisho Mwisho 'huwaboa' katika Kuwapigia

Mtaalam wa Saikolojia: Wapiga 'Kura' wengi hupenda Kuwapigia Kura wale wa Kwanza Kwanza 'Pichani' na wale wa Mwisho Mwisho 'huwaboa' katika Kuwapigia

Tundulissu is real opposition leader who deserve to rule our country , I seen since Tundulissu returned gave him sleepless Ccm Aspirant John Mgufuli. And now he depending on uses of state apparatus to remain on power
 
Come rain or shine
Lissu is our 06th president.let Muhutu vacate our country
Police and army only serves the current regime not the masses
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Mwambie arudi shule upya.
Miaka yote cdm huwa kuanzia namba 5 kushuka chini lkn hushika namba 2

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Mkuu kwa hamasa ilivyokuwa hivi sasa miongoni mwa wananchi, hata watu wenye matatizo ya macho itakuwa ni rahisi sana kuiona nembo ya CDM[emoji3577]na picha za wagombea wao. Pengine uniambie zoezi la kupiga kura litachukua muda kwa watu kutotaka kufanya makosa na hatimaye kura zao zije kuharibika.

Mgombea wa CCM pengine picha yake ingewekwa sambamba ikiwa pamoja na ya Diamond, Ali Kiba ama Konde Boy pengine kwa kiasi kidogo mno hiyo saikolojia uliyoigusia ingaliweza kufanya kazi.
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Huwa naelewa sana hoja zako mkuu, ila wewe utakua mtu wa "kitengo ".
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Hebu ficha ujinga wako
 
Siku ya kufa miti yote huteleza. CCM miti yote inateleza. Nia yao mbaya iko wazi.
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
 
Labda mtaalam wako amefanyia utaalamu bara. Ila Zanzibar hata kama maalim seif ukimueka ukurasa wa 200 halafu akawa jina la mwisho tena kwa font size 4pts wapiga kura wa Zanzibar watatafuta jina lake na picha na wala hawataboeka.
 
Hao ni wapiga kura wa zamani, wale vichwa vya kuku (wajinga), ambao hawajui wamchague nani mpaka wanaingia kituoni.

Siku hizi wananchi walio wengi wanayo elimu ya uraia, wameshafanya maamuzi mapema kabisa, ukiingia kituoni hata mgombea anayemtaka awe ukurasa wa tatu atatafutwa tu.

Kwahiyo NEC kama walidhani kumweka joni awe wa kwanza kutasaidia wamaulamba wa chuya.
Ni mbinu za kizamani sana maccm yanatumia,
Wanafikili watanzania wa leo ndiyo kama wazamani,wapiga kura hawaendi kituoni kuangalia namba,waneenda kuangalia sura ya mgombea ndiyo wanaweka vema,
Tume wakitaka kufanikiwa labda waondoe sura za wagombea wawe namba peke yake.
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Kwa mujibu wa Twaweza ccm inakubalika na watu wajinga na wasiokuwa na elimu.

Lakini licha ya wanaccm hawa kutokuwa na elimu lakini walipiga spana kisawasawa tena unakuta kuna jimbo lilikuwa na wagombea 70 lakini wajumbe kwao haikuwa kikwazo, ukitaka kuamini hili muulize Paskali Mayalla atakupa ushuhuda kwamba karatasi la kura hata majina yakae vipi spana ziko palepale.

Tena uzuri wa karatasi za kura kuna bendera za vyama, spana hazikwepeki.
 
Mwana saikolojia fake, mwaka 2015 kwenye list Anna Mugwila alikuwa wa 1 lkn alishindwa vibaya sana.

ECB2C3AE-5C2D-4914-9B83-6E50DE68FFF3.jpeg
 
Hii ngoma Lumumba nzima hawalali itakuwa huyo mwana saikologia ..

Watu wameshaamua .... na ogopa sana watu wakishasema sasaa basiii!! CCM walijisahau sana ndani ya hii maika mitano wakajiona wapo juu ya kila kitu....

Sasa wenye nchi yao wameshastuka...

Kifupi CCM is no more!! Poleni kama nitawakera ila huo ndio ukweli wenyewe.
Mimi Wala hujanikera kwa maana umeongea ukweli mtupu.
 
Yaani kama kuna mtu kawadanganya CCM kwamba hii nayo ni mbinu ya kuapata kura amewaingiza choo cha Kushoto. Mtanzania gani kwa sasa hajui ile sura iliyobadikwa mjini kila baada ya hatua 3? Au wakati wanabandika hawakujua madhara yake?
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Tena hawa wapiga kura wa Tl walivyo na mbwembwe wanaweza wakatoboa picha ya mgombea mwingine kwanza ndio wakapiga kura.
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Uchaguzi kudorora ndio ilikuwa inatazamiwa na wengi. Baada ya kushuhudia wizi wa mchana kweupe kwenye chaguzi za marudio, na ule wa serikali za mitaa, wengi waliona heri kuendelea kupambana na maisha magumu ya awamu ya 5 badala ya kujisumbua kupiga kura.

Ndio maana hata mazoezi ya kuandikisha wapiga kura na uhakiki, yalidorora saaana. Ilibidi kuhamasisha watu, na haikusaidia.

Lakini ujio wa Tundu Lissu umebadili kabisa upepo. Naamini turnout itakuwa kubwa sana. Na hata kama jina la Tundu Lissu lingekuwa mwisho, wengi wangelitafuta. Hiyo theory inakubalika kwa chaguzi ambazo zimedoda
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.

Mmeshaingia choo kingine cha kike.....
 
"GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE asikudanganye Mtu 'Kisaikolojia' Mpiga Kura yoyote yule Siku ile ya Kupiga Kura huwa na 'mwamko' mkubwa wa 'Kuwapigia' wale ambao 'Picha' zao ni za Kwanza Kwanza na hasa kwa Namba 1 mpaka 3 tu na kwa 'Mazingira' ya Siku husika wengi Wao huwa hawataki wala hawapendi 'Kujichosha' na 'Kujiboa' kuwapigia wale wa Mwisho Mwisho hasa Namba 12 hadi 14" Mtaalam wa Saikolojia.
Hao watakuwa wapiga kura wa marekani
 
Back
Top Bottom