Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno

Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno

Alishindwa nini na hao wabrazili wake.
Mna vituko na huyo mzee wako. Yale yale wakati wa uzinduzi wa Ikulu Dodoma. Alikuwa Rais kwa miaka kumi, nini kilimzuia.
Huoni kama ni ujinga kumsifia mtu aliyekuwa na nafasi akashindwa kufanya. Sasa amekuja mtu kafanya tena ndani ya miaka mitano halafu ndo mnajotutumua. Eti Kikwete.
Hizi ni tabia za watu wasiokuwa na aibu kabisa
 
Kikwete yupi unayemzumgumizia .huyu hata sisimizi wwnajua alikuwa alikuwa dhifu hasa
Wewe huna ujuwalo, soma ulichokikuta kwa wakati wako, ukitaka kkkuelewa ya zamani, uliza kwa heshima na adabu tukumwagie ushahidi, au pitia huu uzi vizuri.

ujinga wa kuongea kijinga peleka kwa mapoyoyo wenzako.
 
Moja halina tatizo, lipo vizuri/ Tatizo ni kubwa sana kwa maji kujaa haraka.


Kulifanya liwe na tija inabidi zitumike pesa nyingi nyingine kujenga bwawa dogo mbele yake, halafu huku maji yafunguliwe, lile dogo liwe linafuwa umeme.


Mwenyezi Mungu akijaalia maji yakijaa, yatafuwa yote mawili. Yakipunguwa, moja litakuwa linafuwa tu. Tunaweza kwenda kwa hesabu hizo yakawa manne matano. No problem.


Brazil ilikuwa tayari kabisa wafanye hivyo, yule mwehu akawaona waliomtangulia wajinga, akapiga chini dili la Brazila akaleya lake la bwawa moja. Pambaf yule.

Euphrates lina mabwawa ya kufulia umeme 19.
Acha uonge hamna sehem yotote kikwete alitaja stigla, yey si alikaa madarakan kww mika 10 .alishindwa nini kufanya hivyo
 
Moja halina tatizo, lipo vizuri/ Tatizo ni kubwa sana kwa maji kujaa haraka.


Kulifanya liwe na tija inabidi zitumike pesa nyingi nyingine kujenga bwawa dogo mbele yake, halafu huku maji yafunguliwe, lile dogo liwe linafuwa umeme.


Mwenyezi Mungu akijaalia maji yakijaa, yatafuwa yote mawili. Yakipunguwa, moja litakuwa linafuwa tu. Tunaweza kwenda kwa hesabu hizo yakawa manne matano. No problem.


Brazil ilikuwa tayari kabisa wafanye hivyo, yule mwehu akawaona waliomtangulia wajinga, akapiga chini dili la Brazila akaleya lake la bwawa moja. Pambaf yule.

Euphrates lina mabwawa ya kufulia umeme 19.
Acha uonge hamna sehem yotote kikwete alitaja stigla, yey si alikaa madarakan kww mika 10 .alishindwa nini kufanya hivyo
 
Acha uonge hamna sehem yotote kikwete alitaja stigla, yey si alikaa madarakan kww mika 10 .alishindwa nini kufanya hivyo
Nenda juu post #158 utakuta links za hapa hapaa JF.


Kijana unashindana na watu tulioujadili mjadala huo hapa hapa JF? Siku hizo labda wewe bado unajiharria kwenye nepi.

Hata jina hujuwi kuliandika, hata uki search hupati jibu. Jifunze kutumia JF kwanza, halafu search "Steigler Kikwete".
 
Kuna mambo ya kusikiliza na yasiyo ya kusikiliza,

Huu upumbafu ni afadhari haukusikilizwa

Kataa DP word, Penda nchi yako
 
Ukweli usemwe.


Mwendzake ndiyo aliyeliunda hili bomu. Bwawa likuwa tayari lianzwe, yeye ilikuwa asimamie tu, akenda kufuta mkataba wa Brazil wa mabwawa manne badala ya moja. Fala yule, tulijadili sana humu JF, wakati wa JF haswa siyo sasa imejaa vinuka mikojo:

Tanzania, Brazil plan US2billion hydropower plant



DAR ES SALAAM, Tanzania 12/6/10 (PennWell) --
Tanzania is planning with Brazil to construct a US$2 billion hydropower plant in Tanzania, wire services reported.

Officials from Tanzania held talks with their Brazilian counterparts in Sao Paolo earlier in 2010 on the construction of the proposed 2,100-MW Stiegler's Gorge hydropower station, Reuters reported.

The plant would be a source of cheap, abundant energy at a cost of around 2 U.S cents per kilowatt hour. It would help control flooding in the Rufiji area and create a reservoir with a total capacity of 34 billion cubic meters to supply the commercial capital Dar es Salaam and other regions, wire reports indicate.

The government is considering funding options for the project, including concessional loans, private investment or state financing, reports indicate.

Brazil will provide the technology to build the plant, Reuters reported.

The project's current timetable calls for the feasibility study to be updated next year and for the first of three 700-MW turbines to be installed in 2012, media reports indicate. Full project completion is projected for 2015.

Recently, the government of Tanzania signed a deal with Russia-based Borodino for the construction of the $700 million Rumakali hydropower plant in Tanzania's Iringa region.

Construction of the 222-MW hydropower station will begin by 2013, and the plant is expected to come online by 2018, according to reports.

SOURCE: HydroWorld.com

wewe khb vipi mmemaliza la DP World kibibi kifupi kinene zero brain
 
Ulikuwa wapi wakati wa madaraka ya Kikwete? Na ulikuwa na miaka mingapi?
kikwete yupi?
huyu fisadi aliyekuwa anaongoza kwa maslahi ya genge lake la wana mtandao?

kama ni huyo dhaifu basi asingeweza hata kujenga bwawa moja, kwanza kauza gasi yetu kijinga
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Peleka uongo wako huko. Kazi yenu kuzusha sintofahamu ili kupewa dili za kitapeli. Eti mtaalam, mtaalam hana jina? Bwawa ndio linahifadhi maji ya kuzalisha umeme sasa unataka kusema kina cha bwawa ni kidogo? Tayari bwawa limejaza maji mengi karibu yataweza kuanza kuzalisha umeme.
Wee bwana potea zako huko💃🤸
 
" Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu wa Mazingira na wale Wasaidizi wa Rais kwanini hawamuambii huu ukweli ili kufanyike utaratibu mwingine na badala yake wanamdanganya tu na kumpa Moyo wakati hali si shwari? " amesema Mtaalam.

Tujadili.
Sasa uone haya na soni juu.
Tatizo mlilokuwa nalo la kufikirika, halipo tena.
Bwawa linajaa!!
Mitusi ni kawaida ya mijitu isiyo na akili.
 
Wewe huna ujuwalo, soma ulichokikuta kwa wakati wako, ukitaka kkkuelewa ya zamani, uliza kwa heshima na adabu tukumwagie ushahidi, au pitia huu uzi vizuri.

ujinga wa kuongea kijinga peleka kwa mapoyoyo wenzako.
Kikwete ni bahasha wako shuwain wahead wew ,unamhaba ya kishamba sana
 
1688136297859.png
 
Peleka uongo wako huko. Kazi yenu kuzusha sintofahamu ili kupewa dili za kitapeli. Eti mtaalam, mtaalam hana jina? Bwawa ndio linahifadhi maji ya kuzalisha umeme sasa unataka kusema kina cha bwawa ni kidogo? Tayari bwawa limejaza maji mengi karibu yataweza kuanza kuzalisha umeme.
Wee bwana potea zako huko💃🤸
Post niliianzisha June 2019 mbona hukuja Kuijibu / Kunijibu mwaka huo huo ili nikuone Wewe Mwanaume kweli na umekuja Kuijibu Kishoga leo hii mwaka 2023?

Pumbavu.
 
Back
Top Bottom